Iyo inatokea ata kwa issue ambayo nimequalify kabisa ndo maana nauliza shida nini na kama kuna mtu amewai kupatwa na hii issue alirekebisha nini ili nijaribu piaMbona hapo inajieleza mkuu? Au shida ni lugha?
Kwenye kila post huwa wanasema wanataka watu wa fani zipi na viwango vyao vya elimu...
Sometimes unakuta una degree ambayo ndio highest qualification yako, na diploma kama lowest qualification. Sasa kama kazi inahitaji qualification ya diploma ukiomba itakugomea, nadhani ni utaratibu wa ajira za utumishi tu...Wewe apply kazi ambayo inaendana na highest qualification yako.Asanteni nimepata pa kuanzia
Pamoja mkuuSometimes unakuta una degree ambayo ndio highest qualification yako, na diploma kama lowest qualification. Sasa kama kazi inahitaji qualification ya diploma ukiomba itakugomea, nadhani ni utaratibu wa ajira za utumishi tu...Wewe apply kazi ambayo inaendana na highest qualification yako.
Duh! UhayaMbona hapo inajieleza mkuu? Au shida ni lugha?
Kwenye kila post huwa wanasema wanataka watu wa fani zipi na viwango vyao vya elimu.
Kama upo nje ya hapo whether umezidi au kupungua qualifications hauwezi kuqualify.
Hivyo nenda kaedit tena kwenye education background. Weka vigezo husika kwà matakwa husika.
Ajira portal haitaki "uhaya"