Alafu naomba kuuliza hivi wanaposema kwamba uattach verification certificate wanamaanisha nini???

Wanakua wanataka copy ya vyeti vyako vya taaluma viwe vmesainiwa na mwanasheria,ndo u attach pale na kama umesomea nje vtakua verified na TCU bt still watataka copy unazo attach pale ziwe verified na mwanasheria.


Naruhusu kukosolewa
 
Naomba mnieleweshe apa mfano ukitaka kuapply kupitia ajira portal n lazma uandike application letter uiatach kwny account yako ya ajira portal au maana apo cjaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app

Pale ukiwa ushafikisha % za kuweza kutuma maombi bas pakitokea ajira inayoendana na qualification zako hua wanakutumia email then ww una log in,utaona hyo ajira na kitu gan inataka then utaandika barua ya maombi kuna sehemeu uta attach pale coz sekta tofaut hua znatoa ajira na barua zao za maombi hua wanasema zielekezwe kwa nan so huwez kuweka moja ukaombea kote na hyo option hakuna.


Naruhusu kusahihishwa.
 
Nashukuru nimekupata ila nmejarbu ukueka namba ya nida yaan inaload mpk nachoka cjui tatzo nn
Pale ukiwa ushafikisha % za kuweza kutuma maombi bas pakitokea ajira inayoendana na qualification zako hua wanakutumia email then ww una log in,utaona hyo ajira na kitu gan inataka then utaandika barua ya maombi kuna sehemeu uta attach pale coz sekta tofaut hua znatoa ajira na barua zao za maombi hua wanasema zielekezwe kwa nan so huwez kuweka moja ukaombea kote na hyo option hakuna.


Naruhusu kusahihishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hiyo web ya utumishi ina matatizo,ukifungua nafasi za kazi kwa kutumia laptop eti haifunguki.
 
Habari JF!

Najua wahusika wanapitaga pitaga mara moja kusoma pumba zinazoandikwa humu JF, kuna nyingine zinakuwa nzuri wanazifanyia kazi ila nyingine ni pumba kabisa wanaziacha.

Pumba yangu ya leo baada kula kushiba, naishauri ajira portal ifanye upgrading ya website yao, itafute wataalam ambao wata design website ambayo itakuwa na mambo yafuatayo.

1. Kuonyesha mchakato wote wa ajira yaani kama application imepokelewa au rejected, idadi ya waliotuma maombi, screening yaani kama application imefanyiwa uchambuzi na kufanyiwa screening, ionyeshe kama MTU ameitwa kwenye interview au ametemwa na idadi ya walioitwa kwenye interview.

2. Portal iwe na uwezo wa ku-screen application based on skills za MTU maana kuna watu wameishia form 4 wanaskills za kufanya kazi za degree na kuna wenye degree wana uwezo wa kufanya kazi za diploma kwa sasa system inakagua ile education level uliojaza tu kama hai-match na tangazo unatemwa.

Lengo la system siku zote ni kuleta haki na usawa wala isiwe bias ndio maana kwny soka Siku hizi kuna VAR ili kuleta mambo sawa

Asanteni, kama nimetema pumba naomba mnisamehe nilishawahi ugua kichaa kidogo nikapona.
 
Back
Top Bottom