Msaaada: Tatizo la Macho

toghocho

JF-Expert Member
Mar 16, 2011
1,172
198
Heshima mbele wakuu, kwa siku kama 4 sasa, nimekuwa nasumbuliwa na Tatizo hili la macho,
ni kwamba, Mie (au niseme macho yangu) huwa ni maoga sana kwenye mwanga mkali na hasahasa wa JUa la hapa dar.
sasa macho yangu ghafla yamedevelop kitu kama kagiza flani, ambapo kumuona mtu waweza muona but humtambui sura mpaka karibu kabisa, simu ndio hata text kusomna ni issue, computer ndo naaandika huku naangalia keybord, maana hata kusoima haya nnayoyaandioka ni mpaka kama nachungulia, uso karibu kabisa na screeen na bado sioni clearly...ukweli tatizo hili limenianza ghafla , na linanitesa sana..especially kwenye kutembea mchana, kufanya kazi kwenye computer na matumizi ya simu yangu..
ni kama kagiza flani kametanda machoni kwa hiyo nnaona kama kagiza..ile clearness ya picha hakuna especially niki-focus, kanakinga image siioni vizuri, then kwenye kusoma ndo kabisaaaaaaa, msaada wakuu...
 
Heshima mbele wakuu, kwa siku kama 4 sasa, nimekuwa nasumbuliwa na Tatizo hili la macho,
ni kwamba, Mie (au niseme macho yangu) huwa ni maoga sana kwenye mwanga mkali na hasahasa wa JUa la hapa dar.
sasa macho yangu ghafla yamedevelop kitu kama kagiza flani, ambapo kumuona mtu waweza muona but humtambui sura mpaka karibu kabisa, simu ndio hata text kusomna ni issue, computer ndo naaandika huku naangalia keybord, maana hata kusoima haya nnayoyaandioka ni mpaka kama nachungulia, uso karibu kabisa na screeen na bado sioni clearly...ukweli tatizo hili limenianza ghafla , na linanitesa sana..especially kwenye kutembea mchana, kufanya kazi kwenye computer na matumizi ya simu yangu..
ni kama kagiza flani kametanda machoni kwa hiyo nnaona kama kagiza..ile clearness ya picha hakuna especially niki-focus, kanakinga image siioni vizuri, then kwenye kusoma ndo kabisaaaaaaa, msaada wakuu...

Kichwa hakiumi??
Kama kinauma tatizo ni kwamba macho yako yanashindwa kupunguza mwanga mkali unaoingia kwenye jicho hivyo huifanya retina ya jicho kupata moto na kichwa kuuma. Dawa yake miwani ya black/grey photo glasses kama hakiumi wasubir wataalamu wanakuja
 
Kichwa hakiumi??
Kama kinauma tatizo ni kwamba macho yako yanashindwa kupunguza mwanga mkali unaoingia kwenye jicho hivyo huifanya retina ya jicho kupata moto na kichwa kuuma. Dawa yake miwani ya black/grey photo glasses kama hakiumi wasubir wataalamu wanakuja
asante mkuu, lakini kichwa hakiniumi kabisa, zaidi ya hako kagiza kanakosababisja sioni vema, hasa kuna kiama kagiza kanakokinga nisione sura ambayo inakuwa imezibwa flan hivi...kuna kiwingu flani hivi
 
Heshima mbele wakuu, kwa siku kama 4 sasa, nimekuwa nasumbuliwa na Tatizo hili la macho,
ni kwamba, Mie (au niseme macho yangu) huwa ni maoga sana kwenye mwanga mkali na hasahasa wa JUa la hapa dar.
sasa macho yangu ghafla yamedevelop kitu kama kagiza flani, ambapo kumuona mtu waweza muona but humtambui sura mpaka karibu kabisa, simu ndio hata text kusomna ni issue, computer ndo naaandika huku naangalia keybord, maana hata kusoima haya nnayoyaandioka ni mpaka kama nachungulia, uso karibu kabisa na screeen na bado sioni clearly...ukweli tatizo hili limenianza ghafla , na linanitesa sana..especially kwenye kutembea mchana, kufanya kazi kwenye computer na matumizi ya simu yangu..
ni kama kagiza flani kametanda machoni kwa hiyo nnaona kama kagiza..ile clearness ya picha hakuna especially niki-focus, kanakinga image siioni vizuri, then kwenye kusoma ndo kabisaaaaaaa, msaada wakuu...

Vaa miwani ya kuzuia mwanga mkali wa jua. Kula mchicha au mboga za majani kwa wingi na vyakula vya vitamin A. Vile vile kunywa maji mengi.
 
Habar wakuu
Naomba kufahamu tatizo la macho mfano nikiangalia screen ya simu macho yanapata tabu na yanakua kama mazito hivi katika uonaji je tatizo ni nini na dawa yake ni nini?yanakama siku tatu tangia yaanze kunsumbua
 
Habar wakuu
Naomba kufahamu tatizo la macho mfano nikiangalia screen ya simu macho yanapata tabu na yanakua kama mazito hivi katika uonaji je tatizo ni nini na dawa yake ni nini?yanakama siku tatu tangia yaanze kunsumbua

Nakushauri ufike hospitali mkuu utafanyiwa kipimo cha visual acuity na vinginevyo kuweza kubaini tatizo, kusema daawa ni ngumu bila kujua nini tatizo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom