Mrope(Mb): "Hatuwezi kuokota Mawaziri mitaani, wawe Wabunge"

Mbona hiki ni kioja,

Kimsingi Tumepoteza Mweleko hapa Jf,kwa kipindi cha miezi miwili tumekuwa wazungumaji wa hoja dhaifu sana na kama tukiendelea hivi...watu watatupuuza,Meghji kabla ya kuwa waziri ilipewa Ubunge na hii ipo kisheria..sasa tatizo liko wapi?

Mrope anasema hatuwezi kuwa na mawaziri wa kuokota mitaani (wabunge wa kuteuliwa). kwa msimamo wakle yeye mbunge kamili ni yule anayetokana na kupigiwa kura. Samahani kama sikumwelewa vema mheshimiwa sana Mrope
 
Mrope anasema hatuwezi kuwa na mawaziri wa kuokota mitaani (wabunge wa kuteuliwa). kwa msimamo wakle yeye mbunge kamili ni yule anayetokana na kupigiwa kura. Samahani kama sikumwelewa vema mheshimiwa sana Mrope

Mpita Njia angu lini akaelewa mambo yanayosemwa ndani,Kimsingi haukumuelewa Mbunge alichosema,watu wamechukua uhalisia tu kwa ushabiki wao,na kwa yale aliyoyasema Mrpe bila kumuuliza kama likuwa akimaanisha isivyo kama anavyohisi MK
 
Mpita Njia angu lini akaelewa mambo yanayosemwa ndani,Kimsingi haukumuelewa Mbunge alichosema,watu wamechukua uhalisia tu kwa ushabiki wao,na kwa yale aliyoyasema Mrpe bila kumuuliza kama likuwa akimaanisha isivyo kama anavyohisi MK

Ili kuelewa hiki kilichoandikwa haopa awali tulipaswa kumuuliza msemaji kwanza? kama hiyo ndiyo standard, then we are out of line kwa mambo mengi tunayoyajadili kwa sababu ni watu wachache sana waliulizwa kufafanua walichokisema humu
 
Mpita Njia angu lini akaelewa mambo yanayosemwa ndani,Kimsingi haukumuelewa Mbunge alichosema,watu wamechukua uhalisia tu kwa ushabiki wao,na kwa yale aliyoyasema Mrpe bila kumuuliza kama likuwa akimaanisha isivyo kama anavyohisi MK

Gembe,

Inaelekea ni wewe ndiye hujamuelewa. Mrope is so clear on want is talking about and there in nothing to be confussed here. Ndiyo sababu watu wanauliza kuwa je rais anapo-appoint wabunge, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, mabalozi, wakurugenzi n.k je huwa wanaokotwa mitaani? Sasa sijui huo ushabiki unatoka wapi. I think wewe ndiyo mshabiki. Kwa usemi wa Mrope ni fair kutoa comments kuwa akina Meghji, Makamba n.k wameokotwa mtaani.

Anyaway, nafikiri wabunge wetu wengi ndiyo wa kuokotwa mitaani ndiyo maana rais anakuwa na shida ya kupata watu wenye akili ya kuwa mawaziri na washauri wazuri kwa serikali.
 
Jamaa anawakilisha jimbo gani? Inabidi tuanze kumwandaa mwana JF kwenda kuchukua hilo jimbo.

Hivi mbunge kama huyu anachaguliwa kwa hoja au kwa rushwa?





Mbunge kama huyo ni yule aliyechuguliwa kwa rushwa kwani hataki kusikia waziri ambaye hatokani na ubunge kwa kuwa ni mwiba kwake.
 
Kichwa cha habari tu kinaonyesha kuwa huyu Mrope hajui anachokisema, Waziri hayuko mitaani, aliyeko mitaani ni mbunge mtarajiwa kama mimi. Nikishapata ubunge ndipo Mh. Rais anaweza kuniteua kuwa waziri. Mrope acha kutema hizo pumba. Hakika Kolimba alichokisema kilikuwa sahihi kabisa kwamba CCM imepoteza mwelekeo. Kila siku wabunge wa CCM wanaibuka na mawazo yao. Jana Kingunge alitoa aliyonayo moyoni mwake njie ya ilani ya CCM. Hakika dira imepotea.
 
Wabunge wa Tanzania ni kama rubber stump ya serikali hivyo basi kuokoteza mawaziri uswahilini halitakuwa na mabadiriko yoyote kiutendaji katika serikali. Kwanza ni mambo mangapi ambayo serikali imepeleka bungeni yakakaliwa na wabunge (sina idadi kamili) lakini ninachofahamu ni kwamba kama yapo ni machache mno.
Swala la ma-computer katika USA hiyo hoja ni ya kitoto, kuna watu wengine wanafikiria computer is everything, la hasha.Records zinazotunzwa ndani ya computer ni sawa kabisa na kuzitunza katika file storage zingine tofauti ni how fast u can access them.
Mrope hastahili kuwa Mbunge hana point!
 
Hivi ana elimu gani huyu Mrope? wakati mwingine tusilaumu sana wanachosema hawa wabunge bila kungalia elimu na uwezo wao wa kufikiri, tunafahamu jinsii walivyoshinda kwenye chaguzi zao, kiwango cha elimu nafikiri ni kuanzia kidato cha nne (sikumbuki vizuri), sasa according to Mrope tuwe na waziri wa fedha mwenye elimu ya kidato cha nne? OMG. We need prayers!!
 
shaaaaaaaaaaaaaatapuuuuuuuuuuuu uuuuuuuuuuuuuu bungeeeeeeeeeeeee
 
Bwana Mrope pia amewaponda wote wanaotumia mifano ya nchi nyingine duniani kujenga hoja yao. "Hao wanatumia mfano wa Marekani, hao Marekani wenzetu wameendelea, wana makompyuta kibao". Bwana Mrope alisisiza hoja yake huku akipigiwa makofi na wabunge walio wengi. Mheshimiwa Mrope aliyasema hayo wakati akichangia muswada wa uendeshaji wa Bunge unaojadiliwa hii leo.
----------------
Hivi ni kitu gani kilichowafanya watu wazima hawa kushangilia na kumpigia makofi Bwana Mrope.
 
Hivi ana elimu gani huyu Mrope? wakati mwingine tusilaumu sana wanachosema hawa wabunge bila kungalia elimu na uwezo wao wa kufikiri, tunafahamu jinsii walivyoshinda kwenye chaguzi zao, kiwango cha elimu nafikiri ni kuanzia kidato cha nne (sikumbuki vizuri), sasa according to Mrope tuwe na waziri wa fedha mwenye elimu ya kidato cha nne? OMG. We need prayers!!

Huyu ashawahi kuwa mpaka katibu mkuu wizara ya afya(hapo chini) na akaondolewa kwa kashfa, kielimu ni university graduate. Viongozi wengi wa CCM unafiki na kujali sana maslahi ya chama na binafsi kuliko watu wao waliowachagua kunawaponza mpaka saa nyingine wanaongea kama walevi. Mbona marekani mawaziri wote si wabunge, na unaona jinsi kunapokuwa na swala tata serikalini bunge linakuwa huru kuiwajibisha serikali.....nadhani argument ya wapinzani ni kutaka kuwa na independence between the legislature and the executive government, sasa CCM wanakurupuka bila kufikiri kwa kina ni nini wenzao wameongea.

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
Ministry of Health Permanent Secretary 1995 1998
TAMISEMI - Dar es Salaam Region Regional Development Director(RDD) 1994 1995
Chunya District District Development Director(DDD) 1992 1994
Ministry of Foreign Affairs - Holland Deputy Ambassador of Tanzania in Holland 1985 1991
Ministry of Natural Resources & Tourism - TAFICO Chairman and Managing Director 1978 1984
Prime Minister's Office - Lindi Region Regional Development Director(RDD) 1975 1977
Prime Minister's Office - Dodoma Region District Development Director(DDD) 1972 1975
Ministry of Natural Resources & Tourism Fisheries Officer 1968 1971
 
Nilisahau kuongeza wanasema mbona tunaiga marekani .....mbona issue ya makamu wa raisi au running mate kwenye uchaguzi tumeiga kutoka marekani, linapokuja swala linalotishia maslahi yao ya kuwa mawaziri basi tusiige marekani.
 
Jamaa kilaza sana huyu; kwanza, ni kwa nini kilaza huyu aliruhusiwa kugombea ubunge?
 
Mbona hiki ni kioja,

Kimsingi Tumepoteza Mweleko hapa Jf,kwa kipindi cha miezi miwili tumekuwa wazungumaji wa hoja dhaifu sana na kama tukiendelea hivi...watu watatupuuza,Meghji kabla ya kuwa waziri ilipewa Ubunge na hii ipo kisheria..sasa tatizo liko wapi?

Kwa mujibu wa majibu ya Mrope, yaonekana kigezo chake kikubwa ni kupigiwa kura.
Ukiteuliwa kuwa Waziri baada ya kuteuliwa kuwa Mbunge bado unafit kwenye Definition ya kuokotwa mtaani kwani hujapigiwa kura.

Kwa hiyo sioni mtu kapoteza mwelekeo kulingana na hoja ya Mrope.

Naomba nisahihishwe.
 
Huyu ashawahi kuwa mpaka katibu mkuu wizara ya afya(hapo chini) na akaondolewa kwa kashfa, kielimu ni university graduate. Viongozi wengi wa CCM unafiki na kujali sana maslahi ya chama na binafsi kuliko watu wao waliowachagua kunawaponza mpaka saa nyingine wanaongea kama walevi. Mbona marekani mawaziri wote si wabunge, na unaona jinsi kunapokuwa na swala tata serikalini bunge linakuwa huru kuiwajibisha serikali.....nadhani argument ya wapinzani ni kutaka kuwa na independence between the legislature and the executive government, sasa CCM wanakurupuka bila kufikiri kwa kina ni nini wenzao wameongea.

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
Ministry of Health Permanent Secretary 1995 1998
TAMISEMI - Dar es Salaam Region Regional Development Director(RDD) 1994 1995
Chunya District District Development Director(DDD) 1992 1994
Ministry of Foreign Affairs - Holland Deputy Ambassador of Tanzania in Holland 1985 1991
Ministry of Natural Resources & Tourism - TAFICO Chairman and Managing Director 1978 1984
Prime Minister's Office - Lindi Region Regional Development Director(RDD) 1975 1977
Prime Minister's Office - Dodoma Region District Development Director(DDD) 1972 1975
Ministry of Natural Resources & Tourism Fisheries Officer 1968 1971

Majibu aliyotoa na uzoefu wake ni mambo mawili tofauti.
Hii inadhihirisha wazi kwamba uwezo wake wa kutafakari hoja na kuzitetea kwa maelezo yenye mantiki ni wa kulazimisha.

Hivi Makompyuta ya marekani na uteuzi wa viranja wa kitaifa toka mtaani vinaingiliana vipi?

Kutembea kwingi ni kuona mengi lakini kwa wengine kutembea kwingi ni macho kuingia kiwi kwa kiwingu.
 
Back
Top Bottom