Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,587
- 15,450
Malaya ni malaya tu,haitaji insta awe inspired kufanya umalaya wake.Sometimes unaogopa kabisa kumnunulia simu mdogo wako wa kike,hawa wadangaji ndio wana wanainspire sana wadogo zetu wa wakike wanaamini mafanikio yana patikana kwa njia ya K.
Na hamna platform wanayoitumia malaya na wa dangaji kama instagram kutangaza umalaya wao na maisha yao ya kuigiza,basi wadogo wanaamini maisha ndio hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app