Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,387
Huu wimbo wa mpoto CHOCHEA KUNI mashairi yake yana ujumbe gani? "...chochea kuni .... muwaite mamluki...wakija wasubiri" "..mtu anatapika nyongo yake anarudia tena kuila mnamwangalia?" "...utawaulizaje watu magongo ya nini akati ulisema kuna nyoka? Mjomba wewe si uliwapaka wanja ngoja wao wakupake pilipili afu kwenye kombolela iwe zamu yako kuzinga" " "....nisiwe ka wanasiasa hawaoneki hadi kuwe na janga, utawasikia natoa katon 20 za sabun ya unga nani ka kuambia wale ni wachafu?"
Nyimbo zake nyingi huwa zina mafumbo sana mpaka inakuwa ni shida sasa huyu jamaa kueleweka na hadhira yake na hii katika tasnia ya fasihi msanii anakuwa ameshindwa kuitendea haki tasnia
Nyimbo zake nyingi huwa zina mafumbo sana mpaka inakuwa ni shida sasa huyu jamaa kueleweka na hadhira yake na hii katika tasnia ya fasihi msanii anakuwa ameshindwa kuitendea haki tasnia