Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Huyu ni mmoja kati ya wasanii ambao wanaweza kuipa heshma Tanzania
Namkubali sana huyu jamaa lakini sina profile yake kama yupo mwenye profile yake atuletee
Hivi ni grad wa chuo cha sanaa Bagamoyo au? Hivi huyu hakuwa na lile kundi la TATU NANE?
Je ni mtaalam wa muziki au threatre performance pia?
I wish mtu kama huyu akawa na International platform au akawa na chuo chake chenye kuproduce wasanii wenye calibra yake au zaidi
I wish to know more about this brother..je ana wesbite?
Namkubali sana huyu jamaa lakini sina profile yake kama yupo mwenye profile yake atuletee
Hivi ni grad wa chuo cha sanaa Bagamoyo au? Hivi huyu hakuwa na lile kundi la TATU NANE?
Je ni mtaalam wa muziki au threatre performance pia?
I wish mtu kama huyu akawa na International platform au akawa na chuo chake chenye kuproduce wasanii wenye calibra yake au zaidi
I wish to know more about this brother..je ana wesbite?