Mrisho Mpoto aiwakilisha Kenya kwenye Tamasha la Kiswahili

kwani sisi si tunayo taasisi ya kiswahili lakini waziri husika aliamua kuitupilia mbali

sasa msimlaumu mrisho
 
ukistahajabu ya mussa utayaona ya firauni,gwiji la kiswahili nchin nd. mrisho mpoto alienda kuiwakilisha kenya kwenye tamasha la kiswahili,dili hilo alipewa na taasisi ya kiswahili kenya,kenya wenyewe walikiri kwamba kiswahili hawakiwezi vizuri kwhyo ikabdi wamtafute mrisho akawawakilishe kwa masharti ya kujitambulisha kwamba yeye ni mkenya na si mtanzania.

Source:EA RADIO-LIVE INTERVIEW
Nadhani umesahau ule usemi usemao(NABII HAKUBARIKI KWAO)
 
For money u can everything esp a simple task like that, kuukana ubongo mbelle ya hela mbona chap tu.. Go Mpoto u on your way, no one gives a shit about your life wabaodiss hawajawahi hata kusikiliza track zako, honestly i got Mpoto's album nilinunua mwenyewe namkubbali sana jamaa.
 
Alichokifanya si uungwana, hadhi aliyonayo haikustahl kukana Taifa lake

Tusijishaue kwa kigezo cha uzalendo,ni nani kati yetu ataweka uzalendo mbele wakati anachokifanya nchini mwake hakithaminiwi? nani yuko tayari familia yake iteseke na njaa kisa eti dili iliyo mbele yake itamfanya aitwe sio mzalendo? kuna nchi ambazo mtu anathaminiwa kwa uzalendo wake lakini sio bongo hii. Labda uwe mzalendo kwa kundi flani la watu kwa maslahi yao ndo watakukumbuka lakni sio kwa nchi hii.Wasanii wangapi waliokuwa wazalendo kwa taifa hili na wamelitangaza sana taifa hili lakini tumeshuhudia wakiadhirika na maisha na serikalihnajifanya haiwaoni? Hebu angalieni ishu ya JELA MTAGWA na mchango wake katika timu ya taifa hili miaka hiyo hadi picha yake ikatumika na shirika la simu na posta kwenye stamp zake, angalia leo hii maisha anayoishi. Mnataka akina Mpoto naowaje waishi hivyo? Alichokifuata ni maslahi yake yeye na wanaomtegemea katika maisha haya magumu hapa TZ, na sio kuwa haipendi nchi yake
 
kama ni kweli, hakupaswa kuukana utanzania. Hapa ndipo ishu ya elimu inaingia. Hawezi jua ni madhara gani ya muda mrefu atayapata kwa kuhadaika hata kama alipata mil 100. Utaifa ni jambo nyeti sana!
 
Tanzania na sisi tukimtaka akatuwakilishe nina imani hatakuwa napingamizi. Cha msingi ni yeye pia aweze kumudu kuishi, mambo ya uzalendo yatakuja baadaye.
 
Tanzania na sisi tukimtaka akatuwakilishe nina imani hatakuwa napingamizi. Cha msingi ni yeye pia aweze kumudu kuishi, mambo ya uzalendo yatakuja baadaye.
 
Hongera Mrisho, pigia debe uraia wa nchi mbili katiba mpya uzidi kufaidi mazuri ya jirani.
 
Tatizo ni sisiem wanafikiria tu kuhusu cdm badala ya kuwajali wananchi ili waendelee kukubalika!
 
ukistahajabu ya mussa utayaona ya firauni,gwiji la kiswahili nchin nd. mrisho mpoto alienda kuiwakilisha kenya kwenye tamasha la kiswahili,dili hilo alipewa na taasisi ya kiswahili kenya,kenya wenyewe walikiri kwamba kiswahili hawakiwezi vizuri kwhyo ikabdi wamtafute mrisho akawawakilishe kwa masharti ya kujitambulisha kwamba yeye ni mkenya na si mtanzania.

Source:EA RADIO-LIVE INTERVIEW
Na usishangae Mpoto ni std VII tu,hajawahi hata kusoma'' sarufi ya Kiswahili'' lakini kipaji chake kikubwa tunakibeza hapa Tanzania,lakini wenzetu hapo jirani kenya wameona Mpoto ni lulu,wasomi wetu wako CCM wanakimbiza shilingi,kuddos Mpoto ukiitwa tena nenda sisi Wa Tz ni watu wa kukatishana tamaa,na ungewaambia hata Marekani ungetaka ungewakilisha kwani wanaujua uwezo wako
 
Anafuata utamaduni wetu wa kuweka mkwanja mbele; rasilimali/tunu za taifa nyuma. Unafiki mbali; uzalendo Tanzania umebakia kauli tu. Halafu duniani kote ni Wakenya ndio wanaoonekana wakifanya juhudi kueneza Kiswahili. Ukiacha juhudi za watanzania binafsi, viongozi wa Tanzania wako mbali sana na jukumu hilo.
 
Safi sana mpoto kaza buti hata kama watakufuata wachina au waganda hata wakongo wewe nenda tu.
Hakuna cha uzalendo wala nin ?
Wezalendo wa tz washa kufa na uzalendo wao tuliobakia wote ni wazalendo njaa a.k.a waganga njaa. Wew huoni kila siku baba mwana ASHA yupo hewani akisaka fweza iliakistafu asishindwe kuendelea kuruka viwanja kula bata.
 
Unajua wakati mwingine njaa isitufanye tukawa vichaa, sasa unaenda kujitambulisha wewe ni mkenya wakati ni mtanzania? Huu ni upumbavu.
 
We kujitambulisha mtanzania unafaidika na nini?
Huo ni upumbavu ni kweli tuna matatizo lakini hatutakiwi kufika huko hasa mtu kama mpoto ambae anaelewa yote haya,amejidhalilisha sana,kila taifa lina changamoto suala ni kuzishughulikia na si kutanguliza tumbo mbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom