Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,986
- 144,313
Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mhe. Mrisho Gambo ameiomba Serikali kuwarejeshea mali na fedha zilizochukuliwa katika maduka ya kubadilisha fedha kwani “wameporwa pesa zao, magari yao, hati zao za nyumba, viwanja, wamewaacha hoi-bin-taaban.”
Pia, soma:
Pia, soma:
- Arusha: Maduka yote ya kubadilishia fedha za kigeni(Forex) yasimamiwa na JWTZ, wananchi watakiwa kwenda Benki Kuu
- Benki Kuu (BoT), yasitisha leseni za maduka ya kubadilishia fedha za kigeni Tanzania
- Serikali ya Tanzania yasema maduka ya kubadilisha fedha yatafunguliwa baada ya uhakiki kukamilika
- Godless Lema amuomba Rais Mpya Samia Suluhu kuchunguza ofisi ya DPP na BoT