Mrisho Gambo: Vyeti Feki walipwe, Serikali ilikurupuka!

Hivi tumefikia hapa kama jamii kwamba kwamba mtu anazawadiwa kwa kufanya kosa la jinai.

a. Hivi mtu kufoji vyeti kuomba kazi hii ni sawa?! Basi na mimi ngoja nitafute milioni zangu niende mzumbe wakanitengenezee cheti cha PHD ili nionekane msomi wa level hiyo.

b. So tunataka kuwafundisha watoto na wajukuu zetu kuwa ni sawa kufoji vyeti ili kupata kazi. Na reward ya mtu anaefoji vyeti baada ya kugundulika ubadhilifu wake ni kupewa mafao yake na stahiki sawa na mwenye vyeti halali....?!

Sawa sawa hii dunia ni ndogo sana kukaa na watu wapumbavu kwakweli.
 
Kama kuna mwanasiasa hajawahi kuiba chochote fedha au kura au kughushi nyaraka yoyote (risiti za manunuzi kwa ajili ya per diem) awe wa kwanza kuwarushia watu wa vyeti feki mawe!

Ndio 'fojari' hiyo tuisemayo, mtu unarudia darasa la saba mara 7!! Chuoni ataweza kitu kweli.
Nachukia kweli system ya kurudia madarasa na mitihani.Hii ni system iliyoingizwa na wasioitakia mema nchi yetu ili tupate watendaji vihiyo.Kama tuko serious kama taifa we should abolish it immediately.
 
Hivi tumefikia hapa kama jamii kwamba kwamba mtu anazawadiwa kwa kufanya kosa la jinai.

a. Hivi mtu kufoji vyeti kuomba kazi hii ni sawa?! Basi na mimi ngoja nitafute milioni zangu niende mzumbe wakanitengenezee cheti cha PHD ili nionekane msomi wa level hiyo.

b. So tunataka kuwafundisha watoto na wajukuu zetu kuwa ni sawa kufoji vyeti ili kupata kazi. Na reward ya mtu anaefoji vyeti baada ya kugundulika ubadhilifu wake ni kupewa mafao yake na stahiki sawa na mwenye vyeti halali....?!

Sawa sawa hii dunia ni ndogo sana kukaa na watu wapumbavu kwakweli.
Kwa nini zoezi halikufanyika kwa kila mtu anayelipwa kwa kodi ya wananchi?
 
Dah ama kweli ukishangaa ya Musa utayaona ya firauni
Sio tuu hivyo tuseme wanajivua magamba,tunaweza kusema ya green mamba na black mamba waki jaribu kuyavaa magamba ya samaki.Angalao yeye anafaa kwa kitoweo.
 
Hivi tumefikia hapa kama jamii kwamba kwamba mtu anazawadiwa kwa kufanya kosa la jinai.

a. Hivi mtu kufoji vyeti kuomba kazi hii ni sawa?! Basi na mimi ngoja nitafute milioni zangu niende mzumbe wakanitengenezee cheti cha PHD ili nionekane msomi wa level hiyo.

b. So tunataka kuwafundisha watoto na wajukuu zetu kuwa ni sawa kufoji vyeti ili kupata kazi. Na reward ya mtu anaefoji vyeti baada ya kugundulika ubadhilifu wake ni kupewa mafao yake na stahiki sawa na mwenye vyeti halali....?!

Sawa sawa hii dunia ni ndogo sana kukaa na watu wapumbavu kwakweli.
Mkuu naungana na wewe 100%.Kama kiongozi anaweza kusima na kutetea uovu,nikiri kwamba kama taifa tuko njia panda.
 
Kama kuna mwanasiasa hajawahi kuiba chochote fedha au kura au kughushi nyaraka yoyote (risiti za manunuzi kwa ajili ya per diem) awe wa kwanza kuwarushia watu wa vyeti feki mawe!
Kwa hiyo kugushi vyeti ruksa na uovu wowote mwingine ruksa na hakuna haja ya sheria na misahafu,kwa maana ya Biblia na Qur'an ni obsolete!Hivi kwa misimamo hii,jamii,watoto,wajukuu wetu na vitukuu vitarithi nini.A morally bankrupt society!

Now I know why Magufuli was hated,watu wengine wako kwenye amri 10 za Shetani,kwa maana ya usiibe,iba;usiue,ua;usizini,zini nk.nk.
 
Ameyasema Bungeni kwamba Serikali ilikurupuka kuwafuta Kazi

Wakati mwingine Vyama vya siasa muwe mnateua mpeperusha bendera atakae jali utu, anayejari misingi ya haki za binadamu na mwenye hekima! Mtendaji tu haitoshi, ona Sasa Yale ambayo wapinzani waliyatetea wakati wa jiwe huku wakirushiwa maneno ya dhiaka na matusi leo hii mnayaunga mikono, siwalaumu shida mlifungwa midomo kwa kutiwa hofu na yule mleta hofu.

Ni muda wenu Sasa maana Sasa hivi tuna Raisi, narudia Tena Sasa hivi tuna Raisi, Mama SSH, Mungu amtie nguvu awe msikivu, awe mtu wa watu na kazi iendelee!
 
Hapo ina maana walifanya pre bargain na DPP? Swala sio kufuata sheria bali kiutu au kiubinadamu ,makosa hata serikali inafanya tena makubwa ambayo tungekuwa tunafata sheria ilitakiwa viongozi wengi wawe jela ila linafunikwa kombe ili mwanaharamu apite.
Hapo kale, nilikuwa kiongozi kwenye chama chenye kutetea haki za watumishi. Moja ya jambo kubwa ambalo nilijifunza kutokana na kuwa kiongozi wa chama chenye kutetea haki za watumishi ni:

Pana tofauti baina ya haki na fadhila. Haki hudaiwa. Fadhila huombwa. Katika kutetea watumishi shurti mara zote kujua lengo ni lipi: kupata haki au fadhila. Pasipo kujua hayo, unaweza ukajikuta ni mwenye kudai fadhila au kuomba haki, ambapo, aghalabu, matokeo huja hasi.

Kwa hiyo bwana King Kong III , suala la walioghushi vyeti kulipwa mafao, ni la haki au ni la fadhila?

Na kwa mantiki hiyo, ni la kudai au la kuomba?
 
In my previous life nilikuwa kiongozi kwenye chama chenye kutetea haki za watumishi. Moja ya jambo kubwa ambalo nilijifunza kutokana na kuwa kiongozi wa chama chenye kutetea haki za watumishi ni:

Pana tofauti baina ya haki na fadhila. Haki hudaiwa. Fadhila huombwa. Katika kutetea watumishi shurti mara zote kujua lengo ni lipi: kupata haki au fadhila. Pasipo kujua hayo, unaweza ukajikuta ni mwenye kudai fadhila au kuomba haki, ambapo, aghalabu, matokeo huja hasi.

Kwa hiyo bwana King Kong III , suala la walioghushi vyeti kulipwa mafao, ni la haki au ni la fadhila?

Na kwa mantiki hiyo ni la kudai au la kuomba?
Mkuu aliyegushi cheti fadhila anayo weza kupata akihurumiwa sana ni kutompeleka mahakamani na kutotakiwa kurejesha fedha alizoiba with intetest.Infact wahusika wote walipaswa kuishukuru serikali sana kwa hili.Ni ajabu kwamba badala ya kuishukuru serikali, wanaomba kiinua mgongo tena!
 
Hebu Evelyn niambie mambo mabaya ambayo Magu alifanya.Mimi aliyofanya ndiyo yaliyokuwa dream yangu for Tanzania.
Kwa langu binafsi, sijapanda daraja wala kupandishwa mshahara.... Annual increment ya mwisho niliipata kwa Jk.

Deni la bodi ilianza 8%, kilichobakia nikakiplania mambo mengine ikiwepo kukopa mara vuuup deni hilo 15%

We kakukamilishia ndoto gani?
 
Leo Gambo kawa na utu?

Duuh aliyewaita nyumbu hakukosea!

Huyu huyu Gambo aliyekuwa anawatandika mijeledi Arusha!?
Aliwatandika waliofukuzwa vyeti feki mijeledi au?

Angalia hoja ya msingi iliyo ubaoni achana na cheap politics.

Hii hoja siyo ya uvyama maana uhakiki wa vyeti ulikuwa hauangalii CCM wala CHADEMA
 
Issue siyo kwamba hawana makosa.

Unapokagua vyeti feki halafu JESHINI na kwa WANASIASA unaacha, zoezi zima linakosa MAANA linabaki ni UONEVU tu.

Kwasababu wameshawafukuza, at least wawape MAFAO yao maana waliyafanyia kazi.
Siyo uonevu tu bali UHAYAWANI na UPUMBAVU.

Mungu hawezi akakuacha kwa hilo, LAZIMA UFE
 
Back
Top Bottom