Ethos
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 2,294
- 2,057
Amekuwa akitumia mtandao wa Facebook kazungumza na wananchi, kuwahabarisha mambo mbalimbali. Mimi huwa namchukulia kama ni mbunge wa mkoa mzima wa Arusha Kwa jinsi anavyopambana..
Humphrey Polepole alikuwa na tabia kama hii Lakini naona siku Hizi kapotea mitandaoni. Sijui amejifunza nini?
Mfano mwingine wa Kiongozi ambaye anapenda Social Media ni Mh Zitto Kabwe.
Je hii ni moja ya ishara kuielewesha mamlaka ya Uteuzi kuhusu faida /Matumizi ya mitandao ya kijamii ambayo karibia malaika wasikie maombi ya waja wake??
Tuachane na hayo. Mh Gambo itumie Facebook vizuri. Lakini inaweza kuwa na hasara kwako pia hasa katika siasa za kuchafuana.
The next Mbunge wa Arusha Mjini (Maoni binafsi)
Uongozi unaoacha Alama..