Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 930
- 1,408
Nimehudhuria mkutano wa Mgombea Ubunge Arusha Mjini kupiti CHADEMA, Godbless Lema leo, amekuchafua sana, amemwambia DJ aweke sauti ya Rais Magufuli akieleza sababu za kutengua uteuzi wa Gambo
Baadae tukamsikia Bashiru wote wamekuuleza wewe kama mtu mchonganishi na hufai kuwa kiongozi.
Lema akauliza umati ule, kama Gambo yuko hivi atawezaje kuongoza Jimbo la Arusha mjini ilihali viongozi wake wamemuelezea sifa zake? Ninaona Lema kawekewa mpinzani ambaye hauziki.
Baadae tukamsikia Bashiru wote wamekuuleza wewe kama mtu mchonganishi na hufai kuwa kiongozi.
Lema akauliza umati ule, kama Gambo yuko hivi atawezaje kuongoza Jimbo la Arusha mjini ilihali viongozi wake wamemuelezea sifa zake? Ninaona Lema kawekewa mpinzani ambaye hauziki.