Sisi tunataka maendeleo kama ya ULAYA . Kumbukeni mliahidiNitoe tu angalizo kwa wabunge na hasa Mrisho Gambo wa Arusha mjini chapeni kazi bila kujihangaisha kuwafunika watangulizi wenu.
Kwa sasa mchuano ni baina ya Watendaji wa CCM na wanasiasa wa CCM hivyo msipokuwa waangalifu mtaleta mgawanyiko usiokuwa wa lazima ndani ya chama.
Maendeleo hayana vyama!
Hahaha!!!!!!!!!kwako mwalim kashasha embu waeleze wapenzi wasikilizaji hiyo ni faulo au nini?Sisi tunataka maendeleo kama ya ULAYA . Kumbukeni mliahidi
Odhis *
Kikubwa kiutendaji au unaongelea maslahi?Lengo la ubunge lilikuwa ni kusaka uwaziri bahati haikuwa yake RC ni cheo kikubwa kuliko ubunge
VyoteKikubwa kiutendaji au unaongelea maslahi?
Hahahaaaa....... Muosha huoshwa!Gambo anauza utumbo halafu anaogopa Inzi !!
Kuna mwingine anajiita polepole keshajiona ni waziri eti nae siku hizi anakagua miradi na kuzindua.
Mrisho ameshasahau majukumu ya mkuu wa wilaya kana kwamba hajawahi kukalia kiti hicho hicho jijini Arusha!!!
Yule DC anachapa kazi kweli kweli, Ila anaangushwa na yule dada Irene ndosi na afsa tarafa anaitwa Felician. Yule dada anaonea wananchi Sana, wale wanasheria wamewekwa pale na DC wanaisaidia wananchi yeye akiona Kuna issue Ana interests nazo haswa kama tajiri kamwonea maskini, anakuja macho makavu anahakikisha huyo mnyonge hapati haki yake. Same applies to huyo tarafa anaitwa Felician. Lao ni MOJA. Kenan Kama unasoma hapa wape warning hao wafanyakazi wako ama wahamishie. Malalamiko ya wananchi ni Mengi Sana zifi yao. Wanamuharibia Dc na wanam-mislead piaHahahaaaa....... Muosha huoshwa!
Halafu kale kaDC ni kanyalu ka kihesa.
Kenani namuona anapita pita hapa nadhani amekusikia!Yule DC anachapa kazi kweli kweli, Ila anaangushwa na yule dada Irene ndosi na afsa tarafa anaitwa Felician. Yule dada anaonea wananchi Sana, wale wanasheria wamewekwa pale na DC wanaisaidia wananchi yeye akiona Kuna issue Ana interests nazo haswa kama tajiri kamwonea maskini, anakuja macho makavu anahakikisha huyo mnyonge hapati haki yake. Same applies to huyo tarafa anaitwa Felician. Lao ni MOJA. Kenan Kama unasoma hapa wape warning hao wafanyakazi wako ama wahamishie. Malalamiko ya wananchi ni Mengi Sana zifi yao. Wanamuharibia Dc na wanam-mislead pia
Embu mwacheni jaman ..watu wamemchagua yeye.Nitoe tu angalizo kwa Wabunge na hasa Mrisho Gambo wa Arusha mjini chapeni kazi bila kujihangaisha kuwafunika watangulizi wenu.
Kwa sasa mchuano ni baina ya Watendaji wa CCM na wanasiasa wa CCM hivyo msipokuwa waangalifu mtaleta mgawanyiko usiokuwa wa lazima ndani ya chama.
Maendeleo hayana vyama!
Maridhiano hoyeee
Gambo anafanya kazi nzuri sana ya kuanika maovu ya CCM.Nitoe tu angalizo kwa Wabunge na hasa Mrisho Gambo wa Arusha mjini chapeni kazi bila kujihangaisha kuwafunika watangulizi wenu.
Kwa sasa mchuano ni baina ya Watendaji wa CCM na wanasiasa wa CCM hivyo msipokuwa waangalifu mtaleta mgawanyiko usiokuwa wa lazima ndani ya chama.
Maendeleo hayana vyama!
.Gambo anafanya kazi nzuri sana ya kuanika maovu ya CCM. View attachment 1680456
Itakua vyema. Yeye anafanya KAZI nzuri Sana. Lakini Irene na Felician ni big nooo. Yeye afanye uchunguzi wake atang'amua tu. Wanaharibu taswira ya ofisi ya mkuu wa wilayaKenani namuona anapita pita hapa nadhani amekusikia!