Binti255
Senior Member
- Nov 28, 2016
- 126
- 160
Mrembo wa Tanzania(Miss Tanzania)2016, Diana Edward, ameingia kwenye fainali za shindano la Beauty With A Purpose ambalo ni sehemu ya mashindano mbalimbali kwenye Miss World.
Beauty With A Purpose huhusisha miradi mbalimbali ya kijamii ambayo hufanywa na washiriki wa Miss World. Diana amewasilisha documentary ya masuala ya ukeketaji kwenye jamii ya watu wa Masai.
Fainali za Miss World mwaka zitafanyika December 18, nchini Marekani.
[HASHTAG]#TumpigieKura[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BintiMzalendo[/HASHTAG]
Beauty With A Purpose huhusisha miradi mbalimbali ya kijamii ambayo hufanywa na washiriki wa Miss World. Diana amewasilisha documentary ya masuala ya ukeketaji kwenye jamii ya watu wa Masai.
Fainali za Miss World mwaka zitafanyika December 18, nchini Marekani.
[HASHTAG]#TumpigieKura[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BintiMzalendo[/HASHTAG]