dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Heshima yenu wakuu.
Mimi nimetokea kumpenda mwana jf mwenzetu anayeitwa Mayasa. Nimejaribu kumu PM lakini hanijibu..wala hata salaam hajibu.nimemtumia namba ya simu anibeep imeshindikana. kusema kweli nilimpenda kabla hata sijajiunga jf kwa thread zake na comment.baada ya kujiunga nashangaa hata jf hatokelezei.
Mwenye contact zake au uongozi wa jf naomba wanikutanishe na huyu mrembo.nampenda sana..sana.natamani awe mama watoto wangu. nakupenda mayasa..Mmwaaa...!!. over
Mimi nimetokea kumpenda mwana jf mwenzetu anayeitwa Mayasa. Nimejaribu kumu PM lakini hanijibu..wala hata salaam hajibu.nimemtumia namba ya simu anibeep imeshindikana. kusema kweli nilimpenda kabla hata sijajiunga jf kwa thread zake na comment.baada ya kujiunga nashangaa hata jf hatokelezei.
Mwenye contact zake au uongozi wa jf naomba wanikutanishe na huyu mrembo.nampenda sana..sana.natamani awe mama watoto wangu. nakupenda mayasa..Mmwaaa...!!. over