Mrembo luckyline! live interview on DJ sepetu show!!

Malezi Na makuzi yepi toka utoton
Ambayo ungependa kuwaridhisha wanao!
Na yepi ambayo uliyaona yana walakini!

yaan watoto wangu watakuwa na heshima kama mm nilivyolelewa. lazima niwe mkali kwa watoto hivi ninavyoviona vya kisasa mtoto anasalimia wakubwa amesisimama kama minala ya voda hapana. ninacho kufanya mm lazima wafanye.

mtoto anakuletea kitu anakutupia "hicho hapo" afu anasepa? kha! mm na uzee huu napinda goti hadi chini sembuse mtoto kha!
 
yaan watoto wangu watakuwa na heshima kama mm nilivyolelewa. lazima niwe mkali kwa watoto hivi ninavyoviona vya kisasa mtoto anasalimia wakubwa amesisimama kama minala ya voda hapana. ninacho kufanya mm lazima wafanye.

mtoto anakuletea kitu anakutupia "hicho hapo" afu anasepa? kha! mm na uzee huu napinda goti hadi chini sembuse mtoto kha!
Tathimini yako ya utawala Wa awamu huu Na awamu ya kikwete imekaaje ukiangazia kiuchumi zaidi?
 
Tathimini yako ya utawala Wa awamu huu Na awamu ya kikwete imekaaje ukiangazia kiuchumi zaidi?
awam ya kiketwe uchumi ulikuwa mzuri, been nafisi biashara yangu ilienda vizuri.

sasa hivi uchumi sio mzuri watu wanalia njaa.

oder zimepungua si kama zamani.

sasa nakiuliza kama wanabana matumizi pesa inaenda WAP?? mbona hakuna mzunguko? hii ni awamu ya ovyo ambayo haijawahi tokea.

kwa watu waliozoea ajira tu yali ni ngumu
 
awam ya kiketwe uchumi ulikuwa mzuri, been nafisi biashara yangu ilienda vizuri.

sasa hivi uchumi sio mzuri watu wanalia njaa.

oder zimepungua si kama zamani.

sasa nakiuliza kama wanabana matumizi pesa inaenda WAP?? mbona hakuna mzunguko? hii ni awamu ya ovyo ambayo haijawahi tokea.

kwa watu waliozoea ajira tu yali ni ngumu
Ukipewa nafasi aliyonayo Magufuli utafanya nn cha tofauti?
Tanzania ni tajiri ila watu wake ni maskini,kwanini
 
mburaaaaaaa hii siku sitoisahau, for sure nilikosea mm. na sidhani kama alikuwa anajitambua. nilivuta mdomo hapa na shell ingawa wengine hawakujua kilichotokea.

nahisi baada ya sekunde alijua kanikosea haya ni maneno aliyoyasema ," sweetheart am very sorry sijawahi kufanya hiki kitu kwa mwanamke yoyete plz forgive me." kwakuwa mm ndo nilikuwa Nina kosa nikasamehe.
Sasa usitudie tena. Ukirudia hata msamaha sitaomba
 
Ukipewa nafasi aliyonayo Magufuli utafanya nn cha tofauti?
Tanzania ni tajiri ila watu wake ni maskini,kwanini
mambo ya ajabu abayafanya siwezi, MTU utanunuaje mi ndege wakati watu wanakufa.njaa??

hii pesa ya kutafuta vmisifa isokuwa na tija naelekeza vijijini watu wanapata Maji na umeme, pia naboresha elimu na afya.

nitaruhusu katiba mpya, Uhuru wa kuongea na mikutano ya kisiasa, Uhuru wa habari na mengine. maana MTU kama Unajiamini iweje uweke vikwazo??
 
........
moyo wa MTU kichaka ikitokea akaniacha Wenda akajuta maisha .yake yote.
Wenda asimpate mwanamke anaempenda kama mm, anaemuheshimu kama mm, anaemjari kama mm, anaemuombea mazuri kama mm, anaependa ndugu zake kama mm, ambae hamsariti, msafi, najua kupika mcha mungu. in short najitambua,
Huu ndo upuuzi wenu uwaga wote mnaamini eti mwanaume akikuacha hawezi kupata kama wewe...kama kuna kitu inabidi uwe mpole kbs ni kuhusu swala la kujihesabia haki kwenye mahusiano....achana nazo kbs...unaweza achwa na bado watu wakapata bora zaidi yako maana ubora wa mtu umetofautiana ni km uzuri tu...mi naweza kukuona mzuri mwingine akakuona kituko...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom