Shunie nilikuwa naye kwenye uzi ule tuliojimilikisha,hawa wengine sijui wanetekwa maana sijawaonaNashukuru mpz, leo ndugu zetu wamepotelea wapi? Sijawaona kabisa jamani
Ok dear, ngoja na mie nizunguke kidogo maana nilikuwa tyt sana leo. Nitakuwa narudi kuchungulia interview inaendeleajeShunie nilikuwa naye kwenye uzi ule tuliojimilikisha,hawa wengine sijui wanetekwa maana sijawaona
Haya poaOk dear, ngoja na mie nizunguke kidogo maana nilikuwa tyt sana leo. Nitakuwa narudi kuchungulia interview inaendeleaje
Malezi Na makuzi yepi toka utoton
Ambayo ungependa kuwaridhisha wanao!
Na yepi ambayo uliyaona yana walakini!
nipende kawaida ila sio Yale mengineHivi luky naruhusiwa kukupenda?
Halafu kwa taarifa tu ni kwamba yule x wa jamaa ana mpango wa kuchonga mzinga kabisa baada ya onjaonja ya asali kuwa tamu!!
Halafu kwa taarifa tu ni kwamba yule x wa jamaa ana mpango wa kuchonga mzinga kabisa baada ya onjaonja ya asali kuwa tamu!!
ahaaa hata wewe ni super man mbona umekata tamaa? hujui kuwa super men wako jf??Duh humu JF kila mwanamke ana super man sisi wachovu tutaambulia wachumba kweli humu?!
Tathimini yako ya utawala Wa awamu huu Na awamu ya kikwete imekaaje ukiangazia kiuchumi zaidi?yaan watoto wangu watakuwa na heshima kama mm nilivyolelewa. lazima niwe mkali kwa watoto hivi ninavyoviona vya kisasa mtoto anasalimia wakubwa amesisimama kama minala ya voda hapana. ninacho kufanya mm lazima wafanye.
mtoto anakuletea kitu anakutupia "hicho hapo" afu anasepa? kha! mm na uzee huu napinda goti hadi chini sembuse mtoto kha!
awam ya kiketwe uchumi ulikuwa mzuri, been nafisi biashara yangu ilienda vizuri.Tathimini yako ya utawala Wa awamu huu Na awamu ya kikwete imekaaje ukiangazia kiuchumi zaidi?
Ukipewa nafasi aliyonayo Magufuli utafanya nn cha tofauti?awam ya kiketwe uchumi ulikuwa mzuri, been nafisi biashara yangu ilienda vizuri.
sasa hivi uchumi sio mzuri watu wanalia njaa.
oder zimepungua si kama zamani.
sasa nakiuliza kama wanabana matumizi pesa inaenda WAP?? mbona hakuna mzunguko? hii ni awamu ya ovyo ambayo haijawahi tokea.
kwa watu waliozoea ajira tu yali ni ngumu
Sasa usitudie tena. Ukirudia hata msamaha sitaombamburaaaaaaa hii siku sitoisahau, for sure nilikosea mm. na sidhani kama alikuwa anajitambua. nilivuta mdomo hapa na shell ingawa wengine hawakujua kilichotokea.
nahisi baada ya sekunde alijua kanikosea haya ni maneno aliyoyasema ," sweetheart am very sorry sijawahi kufanya hiki kitu kwa mwanamke yoyete plz forgive me." kwakuwa mm ndo nilikuwa Nina kosa nikasamehe.
the the tehSasa usitudie tena. Ukirudia hata msamaha sitaomba
mambo ya ajabu abayafanya siwezi, MTU utanunuaje mi ndege wakati watu wanakufa.njaa??Ukipewa nafasi aliyonayo Magufuli utafanya nn cha tofauti?
Tanzania ni tajiri ila watu wake ni maskini,kwanini
Huu ndo upuuzi wenu uwaga wote mnaamini eti mwanaume akikuacha hawezi kupata kama wewe...kama kuna kitu inabidi uwe mpole kbs ni kuhusu swala la kujihesabia haki kwenye mahusiano....achana nazo kbs...unaweza achwa na bado watu wakapata bora zaidi yako maana ubora wa mtu umetofautiana ni km uzuri tu...mi naweza kukuona mzuri mwingine akakuona kituko...........
moyo wa MTU kichaka ikitokea akaniacha Wenda akajuta maisha .yake yote.
Wenda asimpate mwanamke anaempenda kama mm, anaemuheshimu kama mm, anaemjari kama mm, anaemuombea mazuri kama mm, anaependa ndugu zake kama mm, ambae hamsariti, msafi, najua kupika mcha mungu. in short najitambua,