Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,560
- 188,751
Ndio maana nakuelewa kila sikuSawa
Ndio maana nakuelewa kila sikuSawa
Haya bhanaNdio maana nakuelewa kila siku
He is so mwaaa wakati long distance relationship inakutafuna!!!yeah ni mwanaume nilietamani kuwa nae tangu nikiwa mdogo sikupenda under 30 boys wakati na mm ni under 30 yaan nilitamani niwe na mwanaume anaenizidi umri, mrefu, msomi, anajari ,mweusi kiasi si unajua ngozi nyeusi mwaume lazima wadada tutoe udenda ! in short he is soooo mwaaaa
Kama ni wivu wa kawaida mbona siku ile ulichepuka na yule jamaa my dear?!!long distance relationship is killing me ( ahaaa wivu tu wa kawaida)
Si useme Karagwe tu ...ahaaaaaanilizaliwa mbarara hospital (nchi jiran) natokea kanda ya ziwa ,umri mm ni muhenga elimu ya kawaida-chuo kikuu.
Asanteh ndugu yanguNgoja niwaite.
Numbisa
emmyta
Shunie
Ukhuty
Carba
Linamo
Sakayo
MBITIYAZA
Neybright
Etc..
Kwahiyo mpo wawili mkuu au swali lako ni changangamoto ipi unaipata kutoka kwangu (yaani wewe)Ni nipo hapa angalia usinisifie sana warembo wengine wakajileta ukabaki na maumivu.
Swali: nini ipi changamoto unayopata kutoka kwa mpenzi wako huyo.?
Mengi tutazungumza faragha ishia hapo hapo mamii.Haya bhana
Nitafanyaje sasa,na moyo ushaoza
ahaaa unanitafuta. dah nilijua tu utakuja hapaKama ni wivu wa kawaida mbona siku ile ulichepuka na yule jamaa my dear?!!
He is so mwaaa wakati long distance relationship inakutafuna!!!
Matron weka breki kwanza!.....siyo kwa pupa hiyo,utaniua mtoto wa mwenzio!!ahaaa unanitafuta. dah nilijua tu utakuja hapa
kuchepuka siwezi
Punguza wivu
Umesema wewe muhenga!
Kwanini umejivuta sana kuolewa?
Unaogopa!
Je ni kweli kuwa mapenzi hupungua sana baada ya ndoa?kwanini
Naona leo upo vizuri sana jirani yangu, msalimie carbMengi tutazungumza faragha ishia hapo hapo mamii.
Halafu kwa taarifa tu ni kwamba yule x wa jamaa ana mpango wa kuchonga mzinga kabisa baada ya onjaonja ya asali kuwa tamu!!ntakuchapaaaaaaaa
Mengi tutazungumza faragha ishia hapo hapo mamii.
Nakusalimu NeyNaona leo upo vizuri sana jirani yangu, msalimie carb
Nashukuru mpz, leo ndugu zetu wamepotelea wapi? Sijawaona kabisa jamaniNakusalimu Ney