" Uwiii jamani saa 7 mchana hii sijafanya lolote nimekalia umbea tu. Keanu hata uji hajanywa, mwanangu analia njaa mamake nimekalia umbea… Uwiii byeee, ngojeni nimlishe mtoto then nichat na wateja niache umbea jamani…"
Hayo hapo juu sio maneno yangu ni maneno ya Mange mwenyewe, nimeyatoa kwenye blog yake.Nawaonea huruma watoto wa Mange hasa kale kachanga maskini ya Mungu.Mama yao anatumia nguvu nyingi kujaribu kufanya watu wamuone Zari choka mbaya kitu ambacho hakiwezekani.Mange Kimambi nilikua nakupenda na nilikua naona unaonewa kwenye maugomvi yako ila siku ile ulivyoandika umemuacha mwanao mchanga hadi saa saba bila kumlisha kisa tu umponde Zari ambaye humfikii hata tone nilikuchukia sana.Kwanini malaika wa Mungu ateseke bila hatia?
Nimegundua wewe dada una wivu sana ndio maana umebaki mpweke huna hata rafiki mmoja.Wewe ni binadamu gani umegombana na kila mtu?Nina uhakika huko Marekani ulipo inaweza kupita hata miezi sita hujacheka coz rafiki pekee uliye naye ni mumeo.Pia inaonesha upweke umekuletea depresion sbb kwanza hata kwenye picha zako inaonesha huna furaha,pili watu wenye depresion wanaongea sana ndio maana unaandika migazeti mirefuu halafu unaongea hata vitu ambavyo vilitakiwa vibaki siri.Ungekua huna depresion usingeandika hadi saa saba hujamlisha mtoto ila kwa vile una depresion huwez kucontrol nini useme nini usiseme.
Shame on you Mange,you are a bad mother. I wish i could take Keanu from you coz you cant take good care of that lil cute prins.Halafu sasa inachekesha jinsi Mange anavyoandika migazeti kila siku yakuonesha kwamba Zari ni mama mbaya wakati huo huo yeye anashindisha kichanga chake na njaa akiwa busy kuonesha ulimwengu kuwa Zari ni mama mbaya.
Yaani uko busy na Zari hata hollywoodshopaholics huna time nayo tena.Dada hao watoto uliwaleta duniani kwa mapenzi yako nakuomba wivu na chuki zako kwa wanawake wenzio isiwe mateso kwa hao wanao malaika wa Mungu wasiojua na hatia.They are too cute to suffer for no reason please i beg you Mange.
Hebu jiulizeni kama hadi saa saba mtoto analia njaa hajapewa uji unafikiri hata diaper aliyoamka nayo ilibadilishwa?Sidhani.Nina uhakika hadi hiyo saa saba Mange alikua kwenye pajama aliyoamka nayo hajapiga mswaki wala kusafisha nyumba yake wala kubadili kufuli aliloamka nalo.Upweke ni mbaya sana jamani huyu Mange angekua na rafiki japo mmoja tu sidhani kama angepata hata muda wakuandika migazeti yake kuponda wenzie.
Mange tafuta marafiki coz its obvious huna social life.Sio vizuri kuishi kwa upweke.Upweke ni ugonjwa na unaishia na watu kujiua.Hata umshushe vipi Zari kamwe hutamfikia sababu mwenzio kwanza ana social life ana furaha anakutana na rafiki zake wanasogoa wanacheka wewe umebakia nahesabu mahela.Hizo hela zitakupa umbea?Zitakuchekesha au zitakupa furaha ambayo mtu anapata akiwa na marafiki?Ukitaka kucheka na shoga inabidi upande ndege from LA to Houston kwa Theo na Led Pet.Halafu mbona hatuoni wakija kukutembelea?Au wewe ndio unawahitaji zaidi ya wao wanavyokuhitaji hivyo wakuone wasikuone kwao poa?
Halafu wote unao wa beef ni wazuri hatari.Yaani ukiwekwa ktk line moja na Zari.Linda.Shamim.Sintah Starlisha sidhani kama kuna mwanaume atakuangalia wewe.Na unalijua hilo ndio maana kila siku migazeti yako kuwaponda.Hivi Mange kwa akili zako unadhani wewe mwenye lonely life usiye na shoga wakula naye bata unaweza kuwakosesha raha kina Zari na kina Shamim wenye social life wanakutana kula bata na mashoga zao kila siku?
Magazeti yako yanayotokana na maisha yako ya stress za upweke haziwakomoi hao unaowaonea wivu bali zinawatesa wanao uliowazaa mwenyewe.
SIPENDI KUONA WATOTO WAKITESEKA KWA SABABU ZA KIPUMBAVU.
TUWALINDE WATOTO.
Hayo hapo juu sio maneno yangu ni maneno ya Mange mwenyewe, nimeyatoa kwenye blog yake.Nawaonea huruma watoto wa Mange hasa kale kachanga maskini ya Mungu.Mama yao anatumia nguvu nyingi kujaribu kufanya watu wamuone Zari choka mbaya kitu ambacho hakiwezekani.Mange Kimambi nilikua nakupenda na nilikua naona unaonewa kwenye maugomvi yako ila siku ile ulivyoandika umemuacha mwanao mchanga hadi saa saba bila kumlisha kisa tu umponde Zari ambaye humfikii hata tone nilikuchukia sana.Kwanini malaika wa Mungu ateseke bila hatia?
Nimegundua wewe dada una wivu sana ndio maana umebaki mpweke huna hata rafiki mmoja.Wewe ni binadamu gani umegombana na kila mtu?Nina uhakika huko Marekani ulipo inaweza kupita hata miezi sita hujacheka coz rafiki pekee uliye naye ni mumeo.Pia inaonesha upweke umekuletea depresion sbb kwanza hata kwenye picha zako inaonesha huna furaha,pili watu wenye depresion wanaongea sana ndio maana unaandika migazeti mirefuu halafu unaongea hata vitu ambavyo vilitakiwa vibaki siri.Ungekua huna depresion usingeandika hadi saa saba hujamlisha mtoto ila kwa vile una depresion huwez kucontrol nini useme nini usiseme.
Shame on you Mange,you are a bad mother. I wish i could take Keanu from you coz you cant take good care of that lil cute prins.Halafu sasa inachekesha jinsi Mange anavyoandika migazeti kila siku yakuonesha kwamba Zari ni mama mbaya wakati huo huo yeye anashindisha kichanga chake na njaa akiwa busy kuonesha ulimwengu kuwa Zari ni mama mbaya.
Yaani uko busy na Zari hata hollywoodshopaholics huna time nayo tena.Dada hao watoto uliwaleta duniani kwa mapenzi yako nakuomba wivu na chuki zako kwa wanawake wenzio isiwe mateso kwa hao wanao malaika wa Mungu wasiojua na hatia.They are too cute to suffer for no reason please i beg you Mange.
Hebu jiulizeni kama hadi saa saba mtoto analia njaa hajapewa uji unafikiri hata diaper aliyoamka nayo ilibadilishwa?Sidhani.Nina uhakika hadi hiyo saa saba Mange alikua kwenye pajama aliyoamka nayo hajapiga mswaki wala kusafisha nyumba yake wala kubadili kufuli aliloamka nalo.Upweke ni mbaya sana jamani huyu Mange angekua na rafiki japo mmoja tu sidhani kama angepata hata muda wakuandika migazeti yake kuponda wenzie.
Mange tafuta marafiki coz its obvious huna social life.Sio vizuri kuishi kwa upweke.Upweke ni ugonjwa na unaishia na watu kujiua.Hata umshushe vipi Zari kamwe hutamfikia sababu mwenzio kwanza ana social life ana furaha anakutana na rafiki zake wanasogoa wanacheka wewe umebakia nahesabu mahela.Hizo hela zitakupa umbea?Zitakuchekesha au zitakupa furaha ambayo mtu anapata akiwa na marafiki?Ukitaka kucheka na shoga inabidi upande ndege from LA to Houston kwa Theo na Led Pet.Halafu mbona hatuoni wakija kukutembelea?Au wewe ndio unawahitaji zaidi ya wao wanavyokuhitaji hivyo wakuone wasikuone kwao poa?
Halafu wote unao wa beef ni wazuri hatari.Yaani ukiwekwa ktk line moja na Zari.Linda.Shamim.Sintah Starlisha sidhani kama kuna mwanaume atakuangalia wewe.Na unalijua hilo ndio maana kila siku migazeti yako kuwaponda.Hivi Mange kwa akili zako unadhani wewe mwenye lonely life usiye na shoga wakula naye bata unaweza kuwakosesha raha kina Zari na kina Shamim wenye social life wanakutana kula bata na mashoga zao kila siku?
Magazeti yako yanayotokana na maisha yako ya stress za upweke haziwakomoi hao unaowaonea wivu bali zinawatesa wanao uliowazaa mwenyewe.
SIPENDI KUONA WATOTO WAKITESEKA KWA SABABU ZA KIPUMBAVU.
TUWALINDE WATOTO.