trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Ameyasema hayo wakati akimtangaza mgombea ubunge jimbo la Arumeru Mas.
Katika press conference hiyo,amewathibitishia waandishi na Watanzania kwa ujumla kuwa PhD yake si ya kughushi... Akaonesha na credentials zake,zenye jina la chuo alichopata Doctorate yake cha huko Afrika ya Kusini...
Katika press conference hiyo,amewathibitishia waandishi na Watanzania kwa ujumla kuwa PhD yake si ya kughushi... Akaonesha na credentials zake,zenye jina la chuo alichopata Doctorate yake cha huko Afrika ya Kusini...