Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,564
- 1,511
Mwenyekiti wa Chama Cha TLP Augustine Lyatonga Mrema amesema wananchi wa Jimbo la Vunjo wamemfuata nyumbani kwake kumuomba agombee ubunge wa Jimbo hilo katika uchaguzi utakaofanyika October mwaka huu na yeye amekubali ombi hilo .