Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Kuna taarifa nimezikia juu juu tu. Ati Lyatonga katoa amri kuwa wale wanywa gongo na wavuta bangi walompigia kura wachapwe bakora. Sasa hii imesababisha mauaji. Naskia watu kadhaa wamekufa huko. Kwa wale walioko Marangu naomba watupe khbari kamili.