Mrema wa TANROADS ang'olewa rasmi

Utingo

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
10,270
8,031
Habari from TANROAD zinathibitisha kuwa Katibu mkuu, Naibu katibu mkuu na HR wa Miundo mbinu wamempa dispatch Mr Mrema na nafasi yake imechukuliwa na aliyekuwa Mkurugenzi wa barabara vijijini Mr Mfugale. Na aliyekuwa meneja wa Tanroad Dar (Mr Nyabakari) amekuwa mkurugenzi wa Miradi-director of projects.

More to come tomoror
 
Habari Njema, Mrema ameisaidia CCM katika pesa za kampeni barabara ya bagamoyo haikujengwa pesa zilipitia SUMA JKT kisha zikaliwa wakati wakandarasi viongozi wale wa koprea wanashangaa kwanini pesa ililipwa SUMA wakati wale walikuwa Subcontractors wakapewa wakafanye barabara nyingine,

Good NUUUUZ if its true
 
Kama kweli itakuwa faraja kwa ukwibaji wa hela za watz pale Tz
 
Habari Njema, Mrema ameisaidia CCM katika pesa za kampeni barabara ya bagamoyo haikujengwa pesa zilipitia SUMA JKT kisha zikaliwa wakati wakandarasi viongozi wale wa koprea wanashangaa kwanini pesa ililipwa SUMA wakati wale walikuwa Subcontractors wakapewa wakafanye barabara nyingine,

Good NUUUUZ if its true

Hili nalo neno
 
kwa kua habarizilisema kuwa magufuli alikua aende kwanza pata baraka za JK,it meansmkuu kakubali,ss kaa izi habari ni za kweli i wish mkuu angekua ana toa baraka za namna hii fasta fasta esp mara apokeapo ripoti za viongozi wasio aadilifu kama hawa...ss sijui wale wa takukuru,nc twende tukawaripoti wapiii.......kweli huu ni mwaka wa lala salama,MREMA KARIBU KIJIWENI...USICHEZE NA POMBE HANA MCHEZO
 
Kama ni kweli basi JF ni kiboko!! Maana watu wa Tanroads wenyewe hata habari bado hawajazipata. Kwa vile mleta hoja amesema ni tetesi then ibaki kuwa hivyo mpaka itakapodhibitishwa.
 
jamani kama kweli magufuli amemtoa vizuri lakini nafasi ya anayeshika anateuliwa na rais na mchakato wake bado labda magufuli atangaze atayekaimu nafasi hii kwa muda,,
 
kawaida sana habari hiyo obvious atapewa sehemu ya kula kiulainiiii bila kelele wala propaganda. hamna habari hapo.
 
Kama ni kweli basi JF ni kiboko!! Maana watu wa Tanroads wenyewe hata habari bado hawajazipata. Kwa vile mleta hoja amesema ni tetesi then ibaki kuwa hivyo mpaka itakapodhibitishwa.

Wewe ndio sifuri kabisa! Nani aliyekuambia TANROADS sio members wa JF? Unamjua mleta mada? Au unadhani wanaJF ni akina nani hasa?!!
 
Back
Top Bottom