Mrema V/s Mbatia

Afande Fojuman

JF-Expert Member
Sep 27, 2014
650
534
Kwa hali hii Mrema ataweza kupambana na Mbatia kwel?
 

Attachments

  • 1441372925462.jpg
    1441372925462.jpg
    14.9 KB · Views: 877
Huwezi jua, huyo jamaa huwa anenda mtaa kwa mtaa nyumba kwa nyumba. labda hapo ni moja ya mtaa. siyo kata.
 
Mrema wanakudharau , hebu yaonyeshe kzi hli jeshi la mazombie la ukawa wakiongozwa na fisadi papa
 
Mheshimiwa Lyatonga Mrema kwenye gemu kitambo sana, tokea enzi za NCCR mageuzi
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom