Kibona Dickson
Member
- Feb 13, 2011
- 37
- 14
Augustino Lyatonga Mrema,Mbunge wa jimbo la Vunjo na mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali ya mitaa,ameanza kwa kishindo ambacho sio chenyewe na kudhihirisha jinsi asivyojua mipaka ya wajibu wa kamati ya bunge anayoiongoza.
Magazeti kadhaa nchini yameripoti juu ya kile kilichojiri katika halimashauri ya wilaya ya same wakati Mrema na kamati yake wakikagua hesabu
Kwa mjibu vyanzo vya habari,Mrema na kamati yake walikagua hesabu za halmashauri ya same kama kawaida "walikutana na madudu ya hesabu yaliyokuwa yanawasilishwa na DED" kitabu cha Taarifa alichokuwa anakisoma DED ni tofauti kabisa na yaliyomo ndani kitabu cha CAG,jambo ambalo liliashilia si tu kukosa umakini kwenye za umma na uzembe, bali harufu uwizi na ubadhirifu.
Nimpongeze bwana Mrema na kamati yake nzima kwa uchungu, hali kadharika kwa umakini waliounyesha katika kulinda mali za wananchi,umakini na moyo huu viendelezwe hata katika maeneo mengine.
Lakini wakati Kamati ya hesabu za serikali za mitaa ikianza kwa kuonyesha makali yake na kutoa salamu kwa mabingwa wa kuchakachua hesabu nitoe angalizo.
Huko same Mrema na kamati wameagiza "DED na wenzake wakatwe mishahara asilimia kumi na tano kuziba kile kiasi kinachopungua kwenye.
Nakiri kwamba wahusika katika hesabu za halmashauri ya Same wanastahili adhabu.Wasiwasi wangu ni uhalali wa Mrema na kamati yake kukata mishahara ya watumishi.Mshahara wa mtumishi unaweza kukatwa na mwajiri
Mwajiri wa DED na wenzake sio mrema wala kamati ya bunge.Mrema na kamati yake wangependekeza adhabu na utekelezaji wake wangewaachia wahusika,au kwa hatua zaidi wangewaachia wahusika."MREMA NA WENZAKO KILA LA HERI, LAKINI NI VEMA MKAZINGATIA MIPAKA YA WAJIBU WENU"
Magazeti kadhaa nchini yameripoti juu ya kile kilichojiri katika halimashauri ya wilaya ya same wakati Mrema na kamati yake wakikagua hesabu
Kwa mjibu vyanzo vya habari,Mrema na kamati yake walikagua hesabu za halmashauri ya same kama kawaida "walikutana na madudu ya hesabu yaliyokuwa yanawasilishwa na DED" kitabu cha Taarifa alichokuwa anakisoma DED ni tofauti kabisa na yaliyomo ndani kitabu cha CAG,jambo ambalo liliashilia si tu kukosa umakini kwenye za umma na uzembe, bali harufu uwizi na ubadhirifu.
Nimpongeze bwana Mrema na kamati yake nzima kwa uchungu, hali kadharika kwa umakini waliounyesha katika kulinda mali za wananchi,umakini na moyo huu viendelezwe hata katika maeneo mengine.
Lakini wakati Kamati ya hesabu za serikali za mitaa ikianza kwa kuonyesha makali yake na kutoa salamu kwa mabingwa wa kuchakachua hesabu nitoe angalizo.
Huko same Mrema na kamati wameagiza "DED na wenzake wakatwe mishahara asilimia kumi na tano kuziba kile kiasi kinachopungua kwenye.
Nakiri kwamba wahusika katika hesabu za halmashauri ya Same wanastahili adhabu.Wasiwasi wangu ni uhalali wa Mrema na kamati yake kukata mishahara ya watumishi.Mshahara wa mtumishi unaweza kukatwa na mwajiri
Mwajiri wa DED na wenzake sio mrema wala kamati ya bunge.Mrema na kamati yake wangependekeza adhabu na utekelezaji wake wangewaachia wahusika,au kwa hatua zaidi wangewaachia wahusika."MREMA NA WENZAKO KILA LA HERI, LAKINI NI VEMA MKAZINGATIA MIPAKA YA WAJIBU WENU"