Mrema akichangia bungeni leo katangaza kuwa atagombea tena ubunge.Kwa mbwembwe kubwa sana.
Namshauli mrema aende tu mosho akaendelee kutunza migomba yake,umri umeshamtupa mkono.ana wasiwasi gan lidandasi c ipo?
Sidhani kama wananchi wa Vunjo ni wajinga kiasi hicho.
Mrema akichangia bungeni leo katangaza kuwa atagombea tena ubunge.Kwa mbwembwe kubwa sana.
Mrema akichangia bungeni leo katangaza kuwa atagombea tena ubunge.Kwa mbwembwe kubwa sana.
mwache agombee misukule wenzake watamchagua!!