Mrema: Nawashangaa polisi kutowaweka ndani wapinzani!

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,495
2,043
Akihojiwa na magic fm mzee mrema amewatupia lawama wapinzani kwa kumtukana rais na kumpinga ktk kila jambo. Aidha amekumbusha kua kumtukana mkuu wa nchi ni kosa la jinai na hivyo akawashangaa polisi kutowakamata hao watukanaji!
 
Back
Top Bottom