ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 8,046
- 2,930
Mrema acha kudhalilisha wachaga
Mkuu leo najiona nilikuwa mjinga sana kumuunga mkono huyu mzee kipindi kile cha 1995,Mungu nisamehe kwa kumpigia kula huyoEti huyu mrema ndiyo tulitaka kumpa uraisi 1995, ingekuwa kichekesho, ndiyo maana nyerere alisema namnukuu "siwezi kumwachia mbwa nchi yangu" mwisho wa kunukuu
Kumbe huyu bwana yupo bado? Muoneeni huruma tu, anaimba wimbo wa watawala kwasasa!
Umepotosha. Nyerere hakusema hivyo, Nyerere alisema, nanukuu. " I can' t let my country go to the dogs". Labda useme unatafsiri aliyosema Nyerere lakini sio kunukuu. Hata hivyo tafsiri yk ni ya kibadhiteEti huyu mrema ndiyo tulitaka kumpa uraisi 1995, ingekuwa kichekesho, ndiyo maana nyerere alisema namnukuu "siwezi kumwachia mbwa nchi yangu" mwisho wa kunukuu
samahani mkuu sikubahatika kusoma english. naomba tafsiriUmepotosha. Nyerere hakusema hivyo, Nyerere alisema, nanukuu. " I can' t let my country go to the dogs". Labda useme unatafsiri aliyosema Nyerere lakini sio kunukuu. Hata hivyo tafsiri yk ni ya kibadhite
Kisukari kimeingia kwenye medula oblongataMrema sijui kawaje
Mimi mpaka naogopa uzee aiseeh maana c kwa hali hii ya mrema, cheyo na lipumba cjui linaninani uko!
Hiyo ni methali kwa kizungu. Kwa kawaida mbwa lazima atakuwa na bwana anaemtii na kumtumikia. Kwa kifupi Nyerere alikuwa anasema hatakubali nchi yake iende kwa vibaraka. Na unaposema unanukuu, inamaanisha unarudia yaleyale yaliyotamkwa au kuandikwa siku za nyuma na yule unayemnukuusamahani mkuu sikubahatika kusoma english. naomba tafsiri