ndamana
Member
- May 19, 2017
- 49
- 33
Aaaaah!!!Sasa ni wakati wa rais kumteuwa mrema kuwa IGP mpya
Aaaaah!!!Sasa ni wakati wa rais kumteuwa mrema kuwa IGP mpya
Njaa mbaya sana!Ni copy ya copy ya copy mpaka imekuwa faint
Ni mdogo wa chama twawala.hivi TLP ni chama tawala
Njaa inambadilisha mtuMrema sijui kawaje
Yuko kwenye payroll haisomi number tenaMrema sijui kawaje
hahahaa mkuu huyu ni branch ya ccm kama ile kule kwa zittoInamaana mrema kwa sasa siyo mpinzani?
Na Mimi nilishanga mwaka 2015 eti tulitaka kumpa urais Fisadi Lowasa,yani ingekuwa kichekeshoEti huyu mrema ndiyo tulitaka kumpa uraisi 1995, ingekuwa kichekesho, ndiyo maana nyerere alisema namnukuu "siwezi kumwachia mbwa nchi yangu" mwisho wa kunukuu
Na Mimi najiuliza hivi Lowasa wa ccm ndo huyuhuyu wa chadema,mbona kachoka sanaBADO NAJIULIZA HAPA KAMA MREMA HUYU NI YULE WA MWAKA 1995 AKIWA NCCR AU NI COPY YAKE....