Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 675
Kwa hiyo umekubali?
Sasa ulikuwa unabisha nini Jasusi!
Haina shida.
Ngoja tuwasaidieni wale wa kizazi cha point-and-click (nyooshea-na-bonyeza) kuelewa historia yetu.
Hii ifuatayo ni kutoka tovuti ya Wizara ya Ulinzi. Nyooshea na bonyeza:
Kuanzia mwaka 1985 hadi mwaka 1989
Aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa alikuwa Mhe. Salim Ahmed Salim. Mhe. Salim alihamishiwa Wizara hii mwaka 1985 na hivyo kuwa naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Ulinzi. Dk. Salim aliondoka Wizara yetu baada ya kuchaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Nchi Huru za Kiafrika
Niendelee ama nisiendelee?
Sasa kipindi hicho i mean 1985-1989 Rais alikuwa nani? usikimbilie kuita dot.com...blah blah...