OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,711
jf raha
Mada imeletwa na MSALANI,teh,teh
jf raha
Mrema kwisha habari yake Mkuu Msalani wala usimtilie maanani tena!
Mada imeletwa na MSALANI,teh,teh
MBOWE anatubu kwa Rais wake kutokana na jinsi anavyowalaghai Watanzania na chama chake cha CHADEMA.
Mrema ndio Mpinzani wa Kweli Tanzania, hawa wengine hawatakaa wavunje rekodi yake. Kwanza wote wanatafuta kuwa na madaraka tu! Ni Mrema Pekee ambaye aliacha nyadhifa zake serikalini na kujiinga na Upinzani.