nyamadoke75
Member
- Apr 1, 2020
- 86
- 280
Picha zikimuonyesha Mwenyekiti Wa Tanzania labour party (TLP) akiongoza Mkutano Mkuu wa Taifa Wa kumpitisha Rais john pombe Magufuli kuwa mgombea pekee Wa urais anayeungwa mkono na tlp kwa mwaka 2020
Akiongoza kikao hicho Mrema amesema kwamba wajumbe Wa mkutano mkuu kutoka Tanzania bara na Visiwani zaidi 95 wameridhia kwa pamoja kumuunga mkono Mh Rais kurejea tena katika awamu nyingine kugombea urais 2020
Katika Mkutano Mkuu huo Mrema aliwaalika viongozi mbalimbali kutoka vyama vingine. Chama cha Mapinduzi kiliwakilishwa na Katibu Wa itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Pole Pole, David Saudi Mwaijojele Mwenyekiti Wa taifa Wa CCK pamoja na Msajili Msaidizi Wa vyama vya siasa nchini Sisty Nyahoza
Akimwakilisha Katibu mkuu Wa CCM, Humphrey Pole pole Amesema CCM inakubaliana na mkutano mkuu wa TLP kwa kumpitisha Mhe. Rais Magufuli kwani utendaji wake umewafuraisha watanzania wakiwemo wanachama Wa TLP.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiongoza kikao hicho Mrema amesema kwamba wajumbe Wa mkutano mkuu kutoka Tanzania bara na Visiwani zaidi 95 wameridhia kwa pamoja kumuunga mkono Mh Rais kurejea tena katika awamu nyingine kugombea urais 2020
Katika Mkutano Mkuu huo Mrema aliwaalika viongozi mbalimbali kutoka vyama vingine. Chama cha Mapinduzi kiliwakilishwa na Katibu Wa itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Pole Pole, David Saudi Mwaijojele Mwenyekiti Wa taifa Wa CCK pamoja na Msajili Msaidizi Wa vyama vya siasa nchini Sisty Nyahoza
Akimwakilisha Katibu mkuu Wa CCM, Humphrey Pole pole Amesema CCM inakubaliana na mkutano mkuu wa TLP kwa kumpitisha Mhe. Rais Magufuli kwani utendaji wake umewafuraisha watanzania wakiwemo wanachama Wa TLP.
Sent using Jamii Forums mobile app