Waziri2025
Senior Member
- Sep 2, 2019
- 148
- 379
TANZANIA LABOUR PARTY
JIMBO LA VUNJO
Office: Njia Panda, HIMO
Tel: 0754 741 017/ 0710 645 473
Kumb. Na:TLP/UCHAGUZI VIJIJI/VITONGOJI/002 Tarehe: 04/11/2019
MKUU WA MKOA
KILIMANJARO
YAH: NJAMA ZA KUVURUGA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, VITONGOJI NA VIJIJI JIMBO LA VUNJO.
Naomba kukuarifu kuna njama zilizofanywa na baadhi ya viongozi wasiompenda Rais wetu na jitihada zake anazofanya za kutuletea maendeleo ili aonekane hatoshi kwa kuonyesha kwamba ameshindwa kusimamia uchaguzi wa serikali za Mitaa, Vitongoji na Vijiji katika jimbo la Vunjo.
Kwa makusudi bila sababu za msingi vituo vya kuchukua na kurejesha fomu za wagombea katika jimbo la Vunjo havijafunguliwa toka tarehe 1.11.2019 mpaka leo tarehe 4.11.2019 siku ya kurejesha fomu.
Vituo ambavyo hazikufunguliwa ni:
MWIKA KASKAZINI
Vijiji:
Mrimbo uuo
Maring’a
Lole
Msae nganyeni
Msae Kinyanvuo
MWIKA KUSINI
Vijiji:
Kimangaro
Kirumeni
Kondeni
Mawanjeni
Matala
KILEMA KASKAZINI
Vijiji:
Kyou
Ruwa
Makame Juu
Makame Chini
KILEMA CHINI
Vijiji:
Rosho
Mkyasi
Kimororoni
Ngangu
KILEMA KUSINI
Vijiji:
Marawe Kyura
Masaera
KIRUA VUNJO MASHARIKI
Vijiji:
Nganjoni
Mrumeni
Kileuwo
Mero
KIRUA VUNJO MANGHARIBI
Vijiji:
Nduweni
Kwamare
Iwa
Kanji
Manu
Kanango
Marua
KIRUA VUNJO KUSINI
Vijiji:
Yam Makaa
Yam
Mparo
Uchira
Koresa
KAHE MASHARIKI
Vijiji:
Soko
Kyomu
Ghona
Kochakindo
Kiterini
Mikameni
KAHE MAGHARIBI
Vijiji:
Ngasinyi
Mwangaria
Kisangesangeni
Oria
Rau River
Mawala
Miwaleni
MARANGU MAGHARIBI
Vijiji:
Mbahe
Komalyangoye
Kiraracha
Kitowo
Kyala
MARANGU MASHARIKI
Vijiji:
Lyamrakana
Sembeti
Rauya
Lyasongoro
Samanga
Arisi
MAMBA KASKAZINI
Vijiji:
Kokirie
Kotela
Komakundi
Mboni
MAMBA KUSINI
Vijiji:
Mkolowoni
Lekula
Kiria
Kimbogno
Kimanga
MAKUYUNI
Vijiji:
Mieresini A
Mieresini B
Nyawenda
Furaha
Miembeni
Mbuyuni
Zilipendwa
Kiriche
Sindina
Kitula
Saghana
Msufini
Kisimani
Naomba uchaguzi huu usifanyike kwa sababu fomu zetu hazikupokelewa tutakuwa hatujatendewa haki.
TLP, Uhai wa Mtanzania
Wako,
DKT. AUGUSTINE LYATONGA MREMA
MWENYEKITI TLP TAIFA
Nakala kwa: Waziri wa TAMISEMI
Katibu Mkuu CCM
Afisa Utumishi Moshi
Mkuu Wa Mkoa Anna MGwira Amjibu .....
Nafuatilia sababu zilizotolewa na Mkurugenzi wa Moshi...kukicha nitakuja huko. Inaonekana kuna njama zinapangwa kuvuruga uchaguzi. Kwa hiyo imeleta baadhi ya vituo kutofunguliwa..hata hivyo nitafuatilia leo wkt wa urejeshaji wa form
JIMBO LA VUNJO
Office: Njia Panda, HIMO
Tel: 0754 741 017/ 0710 645 473
Kumb. Na:TLP/UCHAGUZI VIJIJI/VITONGOJI/002 Tarehe: 04/11/2019
MKUU WA MKOA
KILIMANJARO
YAH: NJAMA ZA KUVURUGA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, VITONGOJI NA VIJIJI JIMBO LA VUNJO.
Naomba kukuarifu kuna njama zilizofanywa na baadhi ya viongozi wasiompenda Rais wetu na jitihada zake anazofanya za kutuletea maendeleo ili aonekane hatoshi kwa kuonyesha kwamba ameshindwa kusimamia uchaguzi wa serikali za Mitaa, Vitongoji na Vijiji katika jimbo la Vunjo.
Kwa makusudi bila sababu za msingi vituo vya kuchukua na kurejesha fomu za wagombea katika jimbo la Vunjo havijafunguliwa toka tarehe 1.11.2019 mpaka leo tarehe 4.11.2019 siku ya kurejesha fomu.
Vituo ambavyo hazikufunguliwa ni:
MWIKA KASKAZINI
Vijiji:
Mrimbo uuo
Maring’a
Lole
Msae nganyeni
Msae Kinyanvuo
MWIKA KUSINI
Vijiji:
Kimangaro
Kirumeni
Kondeni
Mawanjeni
Matala
KILEMA KASKAZINI
Vijiji:
Kyou
Ruwa
Makame Juu
Makame Chini
KILEMA CHINI
Vijiji:
Rosho
Mkyasi
Kimororoni
Ngangu
KILEMA KUSINI
Vijiji:
Marawe Kyura
Masaera
KIRUA VUNJO MASHARIKI
Vijiji:
Nganjoni
Mrumeni
Kileuwo
Mero
KIRUA VUNJO MANGHARIBI
Vijiji:
Nduweni
Kwamare
Iwa
Kanji
Manu
Kanango
Marua
KIRUA VUNJO KUSINI
Vijiji:
Yam Makaa
Yam
Mparo
Uchira
Koresa
KAHE MASHARIKI
Vijiji:
Soko
Kyomu
Ghona
Kochakindo
Kiterini
Mikameni
KAHE MAGHARIBI
Vijiji:
Ngasinyi
Mwangaria
Kisangesangeni
Oria
Rau River
Mawala
Miwaleni
MARANGU MAGHARIBI
Vijiji:
Mbahe
Komalyangoye
Kiraracha
Kitowo
Kyala
MARANGU MASHARIKI
Vijiji:
Lyamrakana
Sembeti
Rauya
Lyasongoro
Samanga
Arisi
MAMBA KASKAZINI
Vijiji:
Kokirie
Kotela
Komakundi
Mboni
MAMBA KUSINI
Vijiji:
Mkolowoni
Lekula
Kiria
Kimbogno
Kimanga
MAKUYUNI
Vijiji:
Mieresini A
Mieresini B
Nyawenda
Furaha
Miembeni
Mbuyuni
Zilipendwa
Kiriche
Sindina
Kitula
Saghana
Msufini
Kisimani
Naomba uchaguzi huu usifanyike kwa sababu fomu zetu hazikupokelewa tutakuwa hatujatendewa haki.
TLP, Uhai wa Mtanzania
Wako,
DKT. AUGUSTINE LYATONGA MREMA
MWENYEKITI TLP TAIFA
Nakala kwa: Waziri wa TAMISEMI
Katibu Mkuu CCM
Afisa Utumishi Moshi
Mkuu Wa Mkoa Anna MGwira Amjibu .....
Nafuatilia sababu zilizotolewa na Mkurugenzi wa Moshi...kukicha nitakuja huko. Inaonekana kuna njama zinapangwa kuvuruga uchaguzi. Kwa hiyo imeleta baadhi ya vituo kutofunguliwa..hata hivyo nitafuatilia leo wkt wa urejeshaji wa form