casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,358
- 2,144
upo sawa kiongozi lakini elimu yetu inamuandaa mtu kuja kuajiriwa kama unavyojua ajira siku hizi ni tabu wasomi wengi sio kama miaka ile yani kusoma uje uajiriwe kumeshapitwa na wakati na akijaribu kujiajiri tatizo linakuja kwenye mtaji apo mzee katatua tatizo la ukosefu wa mitaji kwa wanawe. anachotakiwa kufanya ni kuwa na asilimia za umiliki kwenye iyo miradi ili iwe kama amewekeza sio amegawa tuu.Matajiri wanawekeza elimu kwa watoto wao na wanawaandaa sana ili wazidi kuwa matajiri Zaidi ya wao. Hapa kosa ni kutowapa elimu bora watoto ambapo mwisho wa siku wanakuja kula mafao yako ya uzeeni na matokeo yake hapo ni lawama tu baadae kuwa nilikusaidia na wewe unisaidie wakati hilo lilitakiwa lije automatic