Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
😂😂😂Hahahaha mbona unanikana hadharani tena ...kama haunitaki uniambie
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaheri
😂😂😂Hahahaha mbona unanikana hadharani tena ...kama haunitaki uniambie
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwiiioooooo....kwiiiiioooooooooo
MwenyeweKwiiioooooo....kwiiiiioooooooooo
Mwenyewe..mwenyeweeeMwenyewe
Halafu Nina zawadi zako .. Usisahau kunicheck pm nikupatie package
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa basi nimesusa ... NasikuoiMwenyewe..mwenyeweee
Kwa kwa kwa kwa kwa
😂😂😂😂😂
Sawa. .. Mwambie baba mkwe nafuata pesa zangu nilizotoa kwaajili ya kishika uchumba
Nami nimesusa na usinioe
Kiendacho kwa mganga hakirudiSawa. .. Mwambie baba mkwe nafuata pesa zangu nilizotoa kwaajili ya kishika uchumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa itakuwa hamjawahi kurogwa nyieKiendacho kwa mganga hakirudi
Usitutishe hukooo
Kwa hiyi ulikuwa unataka mtu ambae mtaenda kutangaza ndoa bila kugegedana?Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu.
Nilibahatika kuonana na wakaka wa wawili, hawa ni watu wazima kidogo miaka yao kuanzia 35 na kuendelea wa kwanza tulikutana Magomeni tukaongea kupeana basic intro, wa pili tulionana alikuja mitaa ya nyumbani.
Ila hao wote nikiri tu walikuwa wanasisitiza ngono, muingiliano kimwili hata hatujajuana kivile na baadhi ya vitu hatujafahamiana wala kujuana tukaishia hewani.
Kwa kifupi ni kuwa humu kutafuta mume huwezi pata zaidi ya sex partner wanaume ni kama vile wanakuwa wanawinda wanawake, anyway kibongo bongo online dating bado sana, najiandaa kesho kwenda equity bank kufungua akaunti na kujiunga na online transactions nilipie dating sites za mambele huko naamini nitapata mume na nitaleta mrejesho humu.
Nadhani mtajiuliza wht online si mnajua tena single maza ubusy na nini na nini.
Unataka haki ya Nini nawewe?
Aaahh kuku wengi siwezi kumwaga mchele wangu hapa utaliwa woteUnataka haki ya Nini nawewe?
Nikusaidie vipi Sasa Mimi jamani!!?
picha tuione kama unaweza ku iscreen shootPakua AP moja i aitwa Tinder ina option 2 ukitaka unalipa usipotaka hulipii. Zingine hizo watakulia pesa bure.
Karibu dadaUje kwangu upate tulizo la moyo