Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,607
- 40,749
Ndio uthamini vya nyumbani sasa, hata kina dada wanaotukimbia hapa na Kukimbilia ngozi nyeupe huwa wanafika mahali wanajutia maamuzi yao
Mchagua nazi c......Mtoto mzuri kama uyo unategemea ataosha vyombo na kusonga ugali? Mtafutie beki 3.
mtoe tu kwa mkopo kwa timu nyingine maana inaonekana hujaridhika na kiwango chake..... Mara ya kwanza kumgegeda hakukuuliza "Can you pour water" ??mkuu beki 3 tunaishi wawili tu kuna kazi gani. Na uwanja wa ccm kirumba nambo nimtafutie timu ingine.
mara moja moja si mbayaHadi nimeona aibu
yaani tunapika hata ukitaka tukupike mwenyewe inawezekana.upo baby wangu?Mimi nabanana na akina Miss Natafuta hapa hapa bongo!
Mkuu tuwekeze .........mimi mwnyw namtaka miss Natafuta
mnasemaje?inabidi tuunganishe nguvu zetu mkuu huenda tukamnasa kirahisi zaidi!
karibu tena mahunjumat.ila wanaume mkishagegeda mtu ndo mnakuja na rundo la kasoro. ulitaka akupikie wewe mume wake?wabongo nilichoshwa na makelele ila bora makelele kuliko Huu msiba
sasa apike mida hii akiungua je? ataenda kumuambia mume wake aliungulia wapi? wewe ni hawara tu na kazi ya hawara ni kulipa billHatujaoana official ila nmemtoa huko kwao buselesele tunaishi kama mke na mme locally
Kupika mnapika sana tu ila hofu yangu ni vile unakuwa gogo kitandani!...... upo baby wangu?yaani tunapika hata ukitaka tukupike mwenyewe inawezekana.upo baby wangu?
kazi ya mwanamke ni kuset papuchi tu.kuwajibika ni kazi ya mwanaumeKupika mnapika ila hofu yangu ni vile unakuwa gogo kitandani!...... upo baby wangu?
Nataka niunganishe nguvu na jamaa ili tukunase kirahisi zaidi kwa sababu siyo kwa kubania papuchi huko!mnasemaje?