wewe unaelekea kuweukaBongo kuna wanawake jamani..juz nilkua eneo moja hapa kwa jij la bashite ,watoto wanaoga kwenye swimming pool kama mbele yanni vyupi kwenda mbele,yan nkasema ngoz nyeus tusiilaum kutokua na maendeleo,ni vile tunaridhika na wanawake wetu kias kwamba tunasahau hata kutafta ya dunia..yaan kila mdada aliekua ana swim,ni mkali,.yan kama brazil
ndo ukomemi sitaki tena
wabongo nilichoshwa na makelele ila bora makelele kuliko Huu msibaKwa kucha hizo alizonazo habari ya vyombo sijui kusonga ugali sahau......we unataka kucha zake zinyofoke au!!!!??????.............kipende cha kwako...wewe si umeona bora ukimbilie rwanda ukatuona wabongo vimeo haya jikaze
wabongo nilichoshwa na makelele ila bora makelele kuliko Huu msiba
Hahaha dawa kabisaaaa na ukomeee na siku nyingineeee si kujishau kwako bongo amna mademu..Kama kawaida yetu wakuu huu ni mrejesho kwenu ndugu zangu.
Kwa hili mimi nitaoa Rwanda.
Sisi ni kama ndugu kanuni yetu ile ile ya kupeana habari mbali mbali ili tuendelee kujifunza. Kama nilivyoainisha katika uzi wangu wa awali kwamba bongo bahati mbaya nitajiripua Rwanda. Nilifanikiwa kupata mtoto wa kirwanda nipo naye gheto hapa, Lakn ndugu zangu nmekuja kuona hawa watoto hawanakitu kabisa mpaka najiraumu.
1.Hawajui mambo kunako sita kwa sita. Ccm kirumba nimeona bado kiwanja bora kwangu.
2.Kupika hawajui kabisa aisee naona shida tu, ugali ndo kabisa yani mpaka napika mwenyewe.
3.wazembe mbaya yani acha tu wakuu kazi kuongea kilugha na ndugu zake kwa cm. Unaweza kuta hata vyombo hajaosha.
Ushauri wangu kwenu wakuu Wanawake wa kibongo ndo wenyewe hawa viumbe wamejaliwa sura tu but nothing aisee, tuache ulimbukeni na hawa watu mi ananikela kweli wakuu
mkuu Joseverest ulikuwa wapi uzi huu unekupita.komaa hapa bongo tu mkuu
Anajua kuwa umemwanzishia uzi huku?Kama kawaida yetu wakuu huu ni mrejesho kwenu ndugu zangu.
Kwa hili mimi nitaoa Rwanda.
Sisi ni kama ndugu kanuni yetu ile ile ya kupeana habari mbali mbali ili tuendelee kujifunza. Kama nilivyoainisha katika uzi wangu wa awali kwamba bongo bahati mbaya nitajiripua Rwanda. Nilifanikiwa kupata mtoto wa kirwanda nipo naye gheto hapa, Lakn ndugu zangu nmekuja kuona hawa watoto hawanakitu kabisa mpaka najiraumu.
1.Hawajui mambo kunako sita kwa sita. Ccm kirumba nimeona bado kiwanja bora kwangu.
2.Kupika hawajui kabisa aisee naona shida tu, ugali ndo kabisa yani mpaka napika mwenyewe.
3.wazembe mbaya yani acha tu wakuu kazi kuongea kilugha na ndugu zake kwa cm. Unaweza kuta hata vyombo hajaosha.
Ushauri wangu kwenu wakuu Wanawake wa kibongo ndo wenyewe hawa viumbe wamejaliwa sura tu but nothing aisee, tuache ulimbukeni na hawa watu mi ananikela kweli wakuu
nilikuwepo around tu... Huyo binti humuachi kabisa nini?mkuu Joseverest ulikuwa wapi uzi huu unekupita.
Huyu binti bado nipo naye kaka hakuna namna.
Mkuu tuwekeze .........mimi mwnyw namtaka miss NatafutaMimi nabanana na akina Miss Natafuta hapa hapa bongo!
inabidi tuunganishe nguvu zetu mkuu huenda tukamnasa kirahisi zaidi!Mkuu tuwekeze .........mimi mwnyw namtaka miss Natafuta