The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 2,996
- 4,164
Naona kukuuliza kama nataka kusoma course yaku operate hiyo machine naisonea wapi au chuo gani kinafundisha
Asante
Asante
Wapi umeisomea BossMkuu naomba Mungu akusaidie ufanikishe, sina uwezo wa kifedha ila nataman sana ningekua business partner/assistant wako kwan na mimi nimesomea fani hio ingawa sina uzoefu sana
Mpaka leoSikufanikiwa mkuu