Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,533
- 45,769
Acheni tu
Nilimsubiria Ubungo usiku kucha alifika saa saba usiku. Tumefika nyumbani saa nane akaoga akalala aligoma kula nikala mwenyewe usiku huo.
Kesho yake aliamka saa nane, tukaenda mtaani. Kutoka hapo loh sijui hata analala wapi.
Sasa shoga kama ulikuwa na wenyeji Dar ulinisumbua wa nini? Wanawake bwana! Nilimuambia kabisa kama unaenda kugegedwa usirudi tena kwangu hujui wanaume wa Dar wewe.
Nimeshangaa sana yaani .
Nilimsubiria Ubungo usiku kucha alifika saa saba usiku. Tumefika nyumbani saa nane akaoga akalala aligoma kula nikala mwenyewe usiku huo.
Kesho yake aliamka saa nane, tukaenda mtaani. Kutoka hapo loh sijui hata analala wapi.
Sasa shoga kama ulikuwa na wenyeji Dar ulinisumbua wa nini? Wanawake bwana! Nilimuambia kabisa kama unaenda kugegedwa usirudi tena kwangu hujui wanaume wa Dar wewe.
Nimeshangaa sana yaani .
Last edited by a moderator: