Wakuu habari ya leo?
Nashukuru kwa maombi yenu Mungu amejibu maombi hatimaye sasa nime pata kazi nzuri zaidi ya nlivo tarajia.
Mnaotafuta kazi kupitia Jf mtapata msikate tamaa,japo kuwa kuna wakosoaji wengine wapost inayo tumwa unaweza hata kutukanwa na watu wasio jua ulicho maanisha ama uhitaji wako,we waangalie wale wanao kuombea na kukutia moyo kwenye coments zao ndo faraja yako.
Nashukuruni sana wapendwa mbarikiwe wote mlioniombea na kunitia moyo tangia nilipo post thread yangu ya kwanza.
Mbarikiwe sana.
Nashukuru kwa maombi yenu Mungu amejibu maombi hatimaye sasa nime pata kazi nzuri zaidi ya nlivo tarajia.
Mnaotafuta kazi kupitia Jf mtapata msikate tamaa,japo kuwa kuna wakosoaji wengine wapost inayo tumwa unaweza hata kutukanwa na watu wasio jua ulicho maanisha ama uhitaji wako,we waangalie wale wanao kuombea na kukutia moyo kwenye coments zao ndo faraja yako.
Nashukuruni sana wapendwa mbarikiwe wote mlioniombea na kunitia moyo tangia nilipo post thread yangu ya kwanza.
Mbarikiwe sana.