not found 404
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 322
- 170
Wakuu wangu hamjambo...
Previously nilileta mada hapa ,kuhusu majibu tata ya kipimo cha HIV ,SD BOOLINE.
NIMEFUATA USHAURI WENU BAADHI KAMA:-
1.kupima kwa kipimo kingine kama determine n.k
2. Kwenda kwa wataalamu kunafuata.
Najua kule presha inakuaga kubwa,
Na hivi wakipima wanaka dump kwe bin, hijui what next,
So kupima mwenyewe unafuatilia step by step (ukiwa umeshajiandaa kisaikolojia lakini.
KIPIMO CHA SASA NIMESOMA NA KUFUATA HATUA ZOTE.
Kwa sasa natulia na sitaki tena kuji expose kijinga jinga.
Nimelala na PO+ tofauti tofauti kwa vipindi tofauti tofauti vya miaka 6, mara ya mwisho ni 9/9/2017,
Nilisex na Mchepuko wangu ambao ni Positive kwa kumpima mwenyewe mara mbili, nilishasex nae pia miezi ya 7/7/2016 jambo lililonikimbiza BUGANDO KUTAFUTA PCR/PRC nilipotibua akiwa hedhi bahati mbaya.
Pia mapema September 2017 (kama nilivyoeleza kwenye thread iliyopita, nilisex na mwanamke ambae baadae niliambiwa nimuathirika kwa miaka5 sasa.
Mwaka 2011 nilijiexpozi na ve+ huko jirani na Tanga.
2013 nilijiexpose na ve+ huko Hai Bomang'ombe.
2014 na Huko Same K njaro na Nyanda za Juu(Mufindi)
2015 Singida na Dar.
2016 Tabora na Shinyanga.
2017 TABORA NA MWANZA.
Ninahaja ya kupima.
Sijawahi kutumia condom toka kukja sex.
NABADILIKA.
STRESS SIO NZURI HATA KIDOGO.
NATARAJIA KUPIMA TENA FEB/14/2018.
Sijajua labda vipo domant.
GOD FORBID.
Previously nilileta mada hapa ,kuhusu majibu tata ya kipimo cha HIV ,SD BOOLINE.
NIMEFUATA USHAURI WENU BAADHI KAMA:-
1.kupima kwa kipimo kingine kama determine n.k
2. Kwenda kwa wataalamu kunafuata.
Najua kule presha inakuaga kubwa,
Na hivi wakipima wanaka dump kwe bin, hijui what next,
So kupima mwenyewe unafuatilia step by step (ukiwa umeshajiandaa kisaikolojia lakini.
KIPIMO CHA SASA NIMESOMA NA KUFUATA HATUA ZOTE.
Kwa sasa natulia na sitaki tena kuji expose kijinga jinga.
Nimelala na PO+ tofauti tofauti kwa vipindi tofauti tofauti vya miaka 6, mara ya mwisho ni 9/9/2017,
Nilisex na Mchepuko wangu ambao ni Positive kwa kumpima mwenyewe mara mbili, nilishasex nae pia miezi ya 7/7/2016 jambo lililonikimbiza BUGANDO KUTAFUTA PCR/PRC nilipotibua akiwa hedhi bahati mbaya.
Pia mapema September 2017 (kama nilivyoeleza kwenye thread iliyopita, nilisex na mwanamke ambae baadae niliambiwa nimuathirika kwa miaka5 sasa.
Mwaka 2011 nilijiexpozi na ve+ huko jirani na Tanga.
2013 nilijiexpose na ve+ huko Hai Bomang'ombe.
2014 na Huko Same K njaro na Nyanda za Juu(Mufindi)
2015 Singida na Dar.
2016 Tabora na Shinyanga.
2017 TABORA NA MWANZA.
Ninahaja ya kupima.
Sijawahi kutumia condom toka kukja sex.
NABADILIKA.
STRESS SIO NZURI HATA KIDOGO.
NATARAJIA KUPIMA TENA FEB/14/2018.
Sijajua labda vipo domant.
GOD FORBID.