KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Unachokitafuta utakipata soon.
Taratibu za upimaji HIV haziruhusu kutumia unigold otherwise umeshatumia determine au bio line vika react kwahivyo maadamu determine haija react basi hakukua na haja ya kurudia tena kwa unigold hayo ni matumizi mabaya ya vitendaniahi.Mbona izo unogold hazionekan vzur na hizo ndo confirmatory
Sio uni gold mkuu.Taratibu za upimaji HIV haziruhusu kutumia unigold otherwise umeshatumia determine au bio line vika react kwahivyo maadamu determine haija react basi hakukua na haja ya kurudia tena kwa unigold hayo ni matumizi mabaya ya vitendaniahi.
Shetwain alinpitia mkuuUna roho ngumu, mechi zote hizo tena ngumu kinoma halafu ulicheza bila viatu duuh!
matangazo ya tahadhari yamepungua sanaUwiiii hatarii mnooo
Ukiangalia nyakati hizi utadhani hakuna ukimwi
Watu tumejisahau kabisa
hahahahahahahamatangazo ya tahadhari yamepungua sana
Mkuu huyu jamaa ni Golden boy Mapung'o hawezi kucheza na viatu!!Una roho ngumu, mechi zote hizo tena ngumu kinoma halafu ulicheza bila viatu duuh!
Hiki kitambi kinakuwasha washa sana eeh!Sasa kama mwenzio ana bahati...! Acha wivu wa kiume wewe mama kitambi...! Huhuhuh... Utani but kata kitambi hicho..
Madam nan anakusumbuaHiki kitambi kinakuwasha washa sana eeh!
bigmind huyoMadam nan anakusumbua
HahahhahahaMkuu huyu jamaa ni Golden boy Mapung'o hawezi kucheza na viatu!!
Huenda huyo Mwanamke alikuwa anatumia ARVHivyo vipimo vya determine ulivyotumia havinaga rongorongo.
Hapo upo fit mkuu, hakuna cha domant wala nini. Hongera.
Unyanyapaa wetu unatusababishia dhana potofu sana.
"Kuchuna ngozi" bila kinga siyo lazima uukwae, inategemeana na kisu unachotumia kuchunia kama kimenolewa sawasawa ama kibutu.
Mambo ya kudhani niliishayaacha baada ya jamaa yangu kufanya vituko nilivyotegemea kuwa vingemuua.
Siku moja alimchukua mwanamke muathirika kwa makusudi kwenda kufanya naye ngono bila kinga!
Nikamuuliza sababu ya kufanya hivyo?
Jibu likawa 'nilitaka kuona za ukimwi zipoje'.
Jibu hilo liliniacha katika simanzi ya mawazo yaliyojaa huruma na unyanyapaa. Lakini cha ajabu, ameishi miaka mingi baada ya kituko hicho, lakini hadi leo anapima ni negative!
Kuchukua tahadhari ni muhimu sana bw mdogo kuliko kufakamia kavukavu kama unavyofanya wewe, ingawa ngozi ni tamu, hasa ikiiva vizuri.
Asikwambie mtu.
Yap, kuna badh walkuwa wanatumiaHuenda huyo Mwanamke alikuwa anatumia ARV
Wengine walikuwa hawatumii?Yap, kuna badh walkuwa wanatumia
Ndio, nlikuka kujua badee sanaWengine walikuwa hawatumii?