Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,714
- Thread starter
- #21
Hongera sana.
Ila ningekushauri pia shambani anza na robo heka. Ukivuna msimu wa kwanza then panda nyingine wakati unaguna mchumo wa pili robo au nusu heka
Hapo ni sawa umepata uzoefu wa kufuga kuku wa kienyeji wawili ( toka vifaranga mpaka wametaga na kutotoa vifaranga) ukasema sasa unataka kwenda shamba kufuga kuku wa kienyeji mia moja kwa mkupuo
Utapata matokeo ya kura za maoni, kigamboni.
Ushahuri huu nauchukua, thanks