Mrejesho wa demo: Kilimo cha pilipili

Hongera sana.
Ila ningekushauri pia shambani anza na robo heka. Ukivuna msimu wa kwanza then panda nyingine wakati unaguna mchumo wa pili robo au nusu heka

Hapo ni sawa umepata uzoefu wa kufuga kuku wa kienyeji wawili ( toka vifaranga mpaka wametaga na kutotoa vifaranga) ukasema sasa unataka kwenda shamba kufuga kuku wa kienyeji mia moja kwa mkupuo

Utapata matokeo ya kura za maoni, kigamboni.

Ushahuri huu nauchukua, thanks
 
Hongera sana mkuu. Binafsi nina ndoto kubwa ya kulima pilipili kwa ufanisi wa hali ya juu, nilishawahi kujaribu kupanda demo bahati mbaya zilidumaa lakini nilivuna. Asante sana kwa kunitia moyo, nami nakutakia kila la heri katika kilimo cha pilipili.
Vipi mkuu naweza kupata wapi soko la mkojo wa sungura
 
Back
Top Bottom