MREJESHO: Tiba ya maumivu makali ya kidole

chama mpangala

JF-Expert Member
Sep 3, 2015
508
702
Siku ya tare 19 /09/2017 kama sijakosea hiyo tare nilileta uzi wa kuomba msaada kwa anayefahamu tiba ya maumivu ya kidole yanayokuwa yanatokea ghafla tu pasipo kufahamika chanzo chake.

REJEA: Tiba ya kidole: Nina maumivu makali sana kidole cha mkono wa kushoto

Wengine wanasema ni mdudu ambapo wengine inawapelekea kupoteza kidole yaani kukatwa kidole . Nilipokea maoni na ushauri tofauti tofauti

Wapo walioniambia nimuone Daktari, wapo walioniambia nisithubutu kwenda Hospitali wakipasua tu basi kuna uwezekano mkubwa wa kukata kidole.

Aliyeniambia nisiende Hospitali alinishauri nitumie mafuta ya taa kuloweka kidole kwa muda dakika 5 ila nililoweka kwa muda wa dakika 10 kutwa mara tatu kwa siku 1
nilifanya hivyo kwa siku moja tu!

Hivi mpaka naandika uzi huu nathubutu kusema nimepona kabisa pia natoa shukrani kwa wote mlionipa ushauri na tiba!!

Ahsante sana JF!!

Najivunia kuwa hapa!

Cc: toroka uje mjini
 
Aisee mm nasumbuliwa ma kidole gumba cha mguun ktk kidole gumba pemben ya kucha panauma sana hasa km nikivaa viatu vya kufunika ila nikivaa viatu vya waz hil tatizo linapungua inafikia hadi kukanyaga chin siwezi..hil inakuwaje..
Wengne wananiambia.fungus ,wengne ongoing nail sasa linanipa shida
 
Aisee mm nasumbuliwa ma kidole gumba cha mguun ktk kidole gumba pemben ya kucha panauma sana hasa km nikivaa viatu vya kufunika ila nikivaa viatu vya waz hil tatizo linapungua inafikia hadi kukanyaga chin siwezi..hil inakuwaje..
Wengne wananiambia.fungus ,wengne ongoing nail sasa linanipa shida
Ni kucha
 
Siku ya tare 19 /09/2017 kama sijakosea hiyo tare nilileta uzi wa kuomba msaada kwa anayefahamu tiba ya maumivu ya kidole yanayokuwa yanatokea ghafla tu pasipo kufahamika chanzo chake.

REJEA: Tiba ya kidole: Nina maumivu makali sana kidole cha mkono wa kushoto

Wengine wanasema ni mdudu ambapo wengine inawapelekea kupoteza kidole yaani kukatwa kidole . Nilipokea maoni na ushauri tofauti tofauti

Wapo walioniambia nimuone Daktari, wapo walioniambia nisithubutu kwenda Hospitali wakipasua tu basi kuna uwezekano mkubwa wa kukata kidole.

Aliyeniambia nisiende Hospitali alinishauri nitumie mafuta ya taa kuloweka kidole kwa muda dakika 5 ila nililoweka kwa muda wa dakika 10 kutwa mara tatu kwa siku 1
nilifanya hivyo kwa siku moja tu!

Hivi mpaka naandika uzi huu nathubutu kusema nimepona kabisa pia natoa shukrani kwa wote mlionipa ushauri na tiba!!

Ahsante sana JF!!

Najivunia kuwa hapa!

Cc: toroka uje mjini
Mkuu hii uliweka baada ya kidole kutunga usaha au ilikuwa kabla.!?? Na ilivotunga ulikamua au uliacha ipasuke yenyewe??

Nna hili tatizo toka Alhamis...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom