Kibuzimzinga
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 208
- 246
Jaribu kupima blood sugar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demi hujamboJaribu pia kupunguza gharama, ulishawahi kunitajia gharama ya dawa ya pumu nilichoka mwenyewe.
Nashukuru Mungu mwanangu amepona kwa gharama nafuu.
Pole sana mkuu, navaa viatu vyako lakini wapi kuna chanagamoto sana mkuuAmeniambia kinagharimu 160000
Pole sana mkuu
nikuulize maswari machache hunijibu
1*je kasi (presha ya mkojo) imepungua
yaan unajikwinya sana kuutoa mkojo
2*je mkojo hutoka ukiwa mwembamba sana(yaan ukubwa wa mkojo vile unatoka upo tafauti na zamani)
3*je wakati mwingne mkojo hutoka km mabomba mawiri au matatu yaan hutawanyika hasa km ukiwa umetoka kuamka
4*je ukimaliza kukojoa ushafunga zipu huwa unajihisi km chembechembe za mkoja zinatoka zinamalizia
5*umeoa au unaishi na mwanake au mpenz ambaye mnakutana(sex) mara kwa mara
6*je huwa unafanya au uliwahi kuwa unafanya punyeto sana
7*je chini ya mbavu au juu ya kitovu pande zote huwa unajihisi maumibu makari hasa mkojo ukiwa umekubana ?
8*kutoka kwenye mbavu kuja kwenye kibovu huwa unahisi km kuna tube(mithiri km bomba) zinawaka moto au maumivu yanafanana na kidonda km kimewekwa ndimu
8*je huwa unahisi maumivu kwenye kibofu yaan kibofu km kinawaka moto mitihili kidonda kilichowekwa ndimu
9*ukimaliza kukojoa huwa unahisi ahueni kubwa kwenye kibofu mpk ureta ambayo udumu kwa muda mchache
10*je kiasi cha mkojo huwa unatoa kwa wingi kutokana ns kukuuma kwa kasi au ni kwa uchache mkojo wa asubuhi huwa unakoa kwa uchache pia
11* je hilo tatizo tangu limekuanza lina muda gani ?
12* swali la mwisho je imefikia hstua unaogopa kunywa maji mengi kuhofia mkojo?
Nimeshapima saana tu sinakisukariJaribu kupima blood sugar
Haya niokote
Sijawahi kutibiwa kupewa dawa kwa Hilo tatizoNavyoona una Incomplete Bladder Emptying ambayo inaweza kutibiwa kwa dawa za kawaida tuu.
Labda tujue walikupa dawa gani mkuu wangu.
Nime ku pm. Nina uhakika wa 90% utapona. Pole sanaWakuu Leo nimeleta mrejesho wa tatizo langu la kukojoa Mara kwa mwara na kupata mkojo Tena kila napomaliza kukojoa baada ya dakika kadhaa nabanwa Tena na mkojo yaan kiufupi mkojo hausishi.
Wakuu nilifuata ushauri wenu nikafika Muhimbili kitengo cha urology nikamuelezea daktar kila kitu, daktari akaelekeza nikafanyiwe vipimo vya damu,ultrasound na mkojo.
Majibu yaliyotoka ya vipimo ya sina ugonjwa wowote na wakati nafanyiwa kipimo Cha ultrasound nimemaliza wakanambia kakojoe uje tuendelee kufanya kipimo nilipoenda kukojoa nikakojoa kuumaliza mkojo wote Ila baada ya kurud kuendelea na kipimo wakapima Tena ultrasound wakaona kibofu kina mkojo tena, nikawaambia hilo ndio tatizo langu sasa.
Ikabidi waendelea kuangalia ini ktk mbavu chembe ya moyo koote hawakuona kitu wakasema labda huyu afanyiwe kipimo wakataja kipimo sjui kipimo gani skukielewa walitaja kingereza. Kesho yake nilirudi kwa daktar akanisomea majibu akasema majibu yanaonyesha hakuma chochote tezi dume iko sawa ndogo Sana pia kibofu kipo sawa pia figo ziko sawa pia nakipimo Cha damu kipo sawa.
Dokta akanambia inabid Sasa labda ufanyiwe kipimo cha kupitisha kifaa ktk tundu la njia yamkojo mpaka ktk kibofu kuangalia kuna nin shida hapo...kiukweli mimi niliwazaaa hili lakupitisha kifaa ktk njia yamkojo nkaogopa ikabid nimfiche daktari kuwa kwasasa sinapesa yakopimo mpaka baada miezi mitatu ikizingatia naishi mkoani basi daktari akawa kaniandikia nirudi mwezi wanne kwa ajili ya hiko kipimo
Wakuu huu ndio mrejesho wangu je kipimo hicho nilichoandikiwa je ni salama kweli kwa afya ya uume wangu na njia pia ya mkojo.
je kipimo hicho nilichoandikiwa je ni salama kweli kwa afya ya uume wangu na njia pia ya mkojo.
Njia zipi za asili zilizokusaidia mpaka ukafanikiwa kuponamalembeka18 mkuu mimi niliwahi kuumwa na tatizo linalohusiana na mkojo miaka ya nyuma, nilihangaika sana bila ya mafanikio, nilimaliza vipimo vyote hakuna kilichoonekana, nikabakisha hicho kipimo unachokisema, ila Doctor aliekua ananishughulikia alinishauri nisikifanye mpaka hali itakapofika kuwa mbaya, mana ukikifanya kitakutia obovu wa maisha. kwa kweli sikikufanya.
Nilikuja kufanikiwa kupowa tatizo langu kwa njia za asili baada miezi kadhaa mbele.
Dokta alikuambia unaweza kupata ubovu wamaisha upimalembeka18 mkuu mimi niliwahi kuumwa na tatizo linalohusiana na mkojo miaka ya nyuma, nilihangaika sana bila ya mafanikio, nilimaliza vipimo vyote hakuna kilichoonekana, nikabakisha hicho kipimo unachokisema, ila Doctor aliekua ananishughulikia alinishauri nisikifanye mpaka hali itakapofika kuwa mbaya, mana ukikifanya kitakutia obovu wa maisha. kwa kweli sikikufanya.
Nilikuja kufanikiwa kupowa tatizo langu kwa njia za asili baada miezi kadhaa mbele.
mzizi upo sahihi kabisa kwenye hili.....nguvu za giza zimefungwa na kizazi chake ndio maana....@mgonjwa wasiliana na mzizi atakusaidia ni ushauri tu ila maamuzi ya mwisho utabaki nayo mwenyewe ila dawa zipo upande wa pili huo ulioshauriwa.Mkuu Pole sana kuhsu hicho kipimo cha kutia katika tundu la dushelele lako hakina ubaya. Nikuulize swali unakuw amtu mwenye mawazo sana? na ninahisi utakuwa na maradhi yanayotokana na mambo ya giz aikiwa vipimo vyote umepima na hakuna maradhi yaliyo onekana basi utakuwa unayo maradhi ya kichawi . Ushauri wangu pia jaribu utibiwe na dawa zetu za asili ili uweze kupata kupona ikiw aunaogopa kutiwa kipimo katika dushelele lako.
MKUU UNAYO MARADHI YA KUTOKWA KWA MKOJO KWA WINGI BILA YA KHIARI (POLYURIA):Wakuu Leo nimeleta mrejesho wa tatizo langu la kukojoa Mara kwa mwara na kupata mkojo Tena kila napomaliza kukojoa baada ya dakika kadhaa nabanwa Tena na mkojo yaan kiufupi mkojo hausishi.
Wakuu nilifuata ushauri wenu nikafika Muhimbili kitengo cha urology nikamuelezea daktar kila kitu, daktari akaelekeza nikafanyiwe vipimo vya damu,ultrasound na mkojo.
Majibu yaliyotoka ya vipimo ya sina ugonjwa wowote na wakati nafanyiwa kipimo Cha ultrasound nimemaliza wakanambia kakojoe uje tuendelee kufanya kipimo nilipoenda kukojoa nikakojoa kuumaliza mkojo wote Ila baada ya kurud kuendelea na kipimo wakapima Tena ultrasound wakaona kibofu kina mkojo tena, nikawaambia hilo ndio tatizo langu sasa.
Ikabidi waendelea kuangalia ini ktk mbavu chembe ya moyo koote hawakuona kitu wakasema labda huyu afanyiwe kipimo wakataja kipimo sjui kipimo gani skukielewa walitaja kingereza. Kesho yake nilirudi kwa daktar akanisomea majibu akasema majibu yanaonyesha hakuma chochote tezi dume iko sawa ndogo Sana pia kibofu kipo sawa pia figo ziko sawa pia nakipimo Cha damu kipo sawa.
Dokta akanambia inabid Sasa labda ufanyiwe kipimo cha kupitisha kifaa ktk tundu la njia yamkojo mpaka ktk kibofu kuangalia kuna nin shida hapo...kiukweli mimi niliwazaaa hili lakupitisha kifaa ktk njia yamkojo nkaogopa ikabid nimfiche daktari kuwa kwasasa sinapesa yakopimo mpaka baada miezi mitatu ikizingatia naishi mkoani basi daktari akawa kaniandikia nirudi mwezi wanne kwa ajili ya hiko kipimo
Wakuu huu ndio mrejesho wangu je kipimo hicho nilichoandikiwa je ni salama kweli kwa afya ya uume wangu na njia pia ya mkojo.