malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,777
- 2,700
Habari wakuu kama mnakumbuka kisa changu cha shemeji yangu wabkike Dada wa mke wangu aliekuwa akipendelea mtoto kukaa kwangu ili yeye apate muda wa kwenda kazini kwake kutafuta riziki...
Sasa rasm kaamua kutokomea kusikojulikana kwenda kutafuta maisha mkoa mwingine n kuacha mtoto wake kwa mama yake amlelee na baba watoto yupo anadunda mtoto yuko darasa la kwanza.
Kumbe ilikua gia yake ya kutaka kuishi naye atokee kwangu kwenda shule ili yeye apate wasaa wa kwenda kutafuta ilikuwa ni gia ya kupanga mipango yak uondoka kwenda mkoa mwingine kutafuta maisha.
Wakuu tuache kukimbia majukumu ya vizazi vyetu tuwajibike
Pia soma: Msaada: Mke wangu anataka tuwe tunaishi na mtoto wa dada yake kila wikiendi na likizo
Sasa rasm kaamua kutokomea kusikojulikana kwenda kutafuta maisha mkoa mwingine n kuacha mtoto wake kwa mama yake amlelee na baba watoto yupo anadunda mtoto yuko darasa la kwanza.
Kumbe ilikua gia yake ya kutaka kuishi naye atokee kwangu kwenda shule ili yeye apate wasaa wa kwenda kutafuta ilikuwa ni gia ya kupanga mipango yak uondoka kwenda mkoa mwingine kutafuta maisha.
Wakuu tuache kukimbia majukumu ya vizazi vyetu tuwajibike
Pia soma: Msaada: Mke wangu anataka tuwe tunaishi na mtoto wa dada yake kila wikiendi na likizo