MKONGORO
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 325
- 263
Habarini za wakati Huu Wana JF!
Jana tar 17/12/2015 Niliweka Uzi Hapa Nikiomba Msaada Kwenu Wasamaria Wema Kunichangia Fedha Ili Niweze Kulipa Kodi Ya Nyumba Au Nichangiwe Bati 12 Ili Nifunike Chumba Kimoja Katika Nyumba Yangu Ya Vyumba 2 Nihamie Kutokana Na Matatizo yaliyonikuta Hadi Kushindwa Kulipa Kodi. Matokeo Ni Kama Ifuatavyo:-
Akaunti Ya Tigo Mpaka Sasa ina Tshs 40,000/=
Akaunti Ya Mpesa Ina Tshs 44,000/=
Western Union Tshs 122,000/=
Moneygram Tshs 120,000/=
Ahadi Watu 3,
Hapa Sitalipa Kodi Tena Ila Naezeka Vyumba Vyote 2 Nihamie Kwangu Mambo Ya Milango Na Madirisha Yatajijua Yenyewe!
Kwa Niaba Yangu Mwenyewe Na Kwa Niaba Ya Familia Yangu Tunasema Asanteni Sana Wana JF kwa msaada wenu mkubwa hakika mmetuepusha na aibu kubwa! Hatuna cha kuwalipa ila MUNGU mwenyewe ndie atakae walipa, wenu Gershom S. Mbanga 0765544791
Asanteni.
Jana tar 17/12/2015 Niliweka Uzi Hapa Nikiomba Msaada Kwenu Wasamaria Wema Kunichangia Fedha Ili Niweze Kulipa Kodi Ya Nyumba Au Nichangiwe Bati 12 Ili Nifunike Chumba Kimoja Katika Nyumba Yangu Ya Vyumba 2 Nihamie Kutokana Na Matatizo yaliyonikuta Hadi Kushindwa Kulipa Kodi. Matokeo Ni Kama Ifuatavyo:-
Akaunti Ya Tigo Mpaka Sasa ina Tshs 40,000/=
Akaunti Ya Mpesa Ina Tshs 44,000/=
Western Union Tshs 122,000/=
Moneygram Tshs 120,000/=
Ahadi Watu 3,
Hapa Sitalipa Kodi Tena Ila Naezeka Vyumba Vyote 2 Nihamie Kwangu Mambo Ya Milango Na Madirisha Yatajijua Yenyewe!
Kwa Niaba Yangu Mwenyewe Na Kwa Niaba Ya Familia Yangu Tunasema Asanteni Sana Wana JF kwa msaada wenu mkubwa hakika mmetuepusha na aibu kubwa! Hatuna cha kuwalipa ila MUNGU mwenyewe ndie atakae walipa, wenu Gershom S. Mbanga 0765544791
Asanteni.