Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,991
- 69,383
Hahaha lakini dada kila kiungo mwilini kinahitaji mazoezi, huwezi kwenda kupigana ngumi ulingoni bila mazoezi ya walimu wazoefu, hata uume unahitaji mazoezi sanaaaa, tena sanaaa. Kazi yake hiyo inahitaji nguvu sasa na practice pia. Sasa unakuta kijana anaogopa kuomba anajufungia ndani eti aonekane mwema kumbe anajilemaza. Wengine eti walokole anasona hadi anahitimu PhD hajagusa aliambiwa sex ni dhambi eti sijui walijitungia wao wanaiita amri ya sita. Ukiwa hivyo nguvu zitatoka wapi?! Nguvu za kiume haziji kwa kula sana au vizuri, zile zinatokana na mazoezi ya uume wenyewe. Kumbuka practise makes perfect dada. Ungekuwa Na uume ungenielewa.
Hahaha angekuwa mwanaume angekuelewa what do you mean