Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,774
- 3,460
Nafaham wengi wenu mliwahi kuona uzi wangu wenye mada iliyopo hapo juu.
Ishu ni kwamba yule mwanamke bado amekaa siku nenda siku rudi kaamua kurudi tena lakini mimi bado msimamo wangu ni ule ule narudia msimamo wangu ni ule ule simtaki tena na namchukia.
Juzi kati alikuja na mbwembwe nyingi,.. "Mimi kwasasa sina tena mda wa kukufata tena maana nimepata mtu mwengine, ananijali sana tena sana na yupo South Africa".
Sasa nikajaribu kumwambia kwamba wewe utaishia kulaliwa kama kuku lakini hautakuja kuolewa abadan, akawa ananiambia namtia gubu.
Nilizidi kumshambulia na kumwambia, nafasi uliyoipoteza kwangu hautaipata tena kwa mwengine. Na kama huamini huyo unaeniambia anakupenda na anakuja likizo, ukikubali kukulala tu umekwisha.
Nikamwambia sikwambii kwasababu ya wivu,.. Hapana, nakupendelea mema... Kama unataka kuolewa olewa ila ukilala nae umekwisha jeuri yako.
Tulikata mawasiliano kitambo... Juzi nikaona friend request kupitia account mpya ila jina lile lile... Mmmh ,.. Nikabaki kujiuliza huyu kafata nini tena kwangu?
Basi nikamkubalia urafiki wetu ukaendelea wa kwenye mtandao... Ikabidi aniulize kwamba bado nina hasira ila katika story zote akanambia lakini kwasasa amepata mtu mwengine na anampa kampan zake sana masuala ya biashara na huyo mtu ni mwanajeshi na yupo mission kwasasa.
Sasa nikamuuliza, inamaana kuja kuniomba urafiriki ni kuja kunitambulisha kwamba umepata mwanajeshi? Akanijibu, "hapana ni story tu kama umekasirika nisamehe" nikamjibu sijakasirika bali kuna swali langu naomba nikuulize, akanijibu sawa uliza.
Nikamuuliza,..
Mimi: Yule jamaa wa South imekuaje?
Yeye: Yule niliamua kuachana nae maana hatuendani umri wake ni mkubwa.
Mimi: Wakati unaanzisha mahusiano na yeye ulikua umefungwa kitambaa usoni?
Yeye: Hapana, tatizo ni kwamba yule mtu anaishi huko na mke wake, sasa nimeona itanichukua mda mrefu kumsubiri yeye kuja huku.
Mimi nikaacha kama yalivyo...
Nikamwambia hapo nilikwambia kwa ushenzi ulionao hautafanikiwa. Akanijibu kwasasa tuachane na yaliyopita, akanambia amemiss vituko vyangu anatamani tuwe marafiki tu ili akumbuke vile viburubani nilivokua nikimpa kwenye sim wakati nipo mbali nae.
Mimi nikataka kujua huyu mwanamke ana msimamo kama anavojinasibu?
Nikamwambia siwezi kuwa na urafiki labda urafiki wetu nikule ila huyo jamaa yako nitakuachia kama kawaida...
Alikubali ombi langu,.. Nikagundua hapa hamna kitu maana hana msimamo thabiti wa kile anachokisimamia..
Nilimtafutia sababu nikamfanyia visa tukaanzisha ugomvi. Hadi leo ni siku ya nne hatujaulizana chochote,... Ifahamike huyo mwanamke sijawahi kufanya nae mapenzi kwakuwa siko tayari.
Ishu ni kwamba yule mwanamke bado amekaa siku nenda siku rudi kaamua kurudi tena lakini mimi bado msimamo wangu ni ule ule narudia msimamo wangu ni ule ule simtaki tena na namchukia.
Juzi kati alikuja na mbwembwe nyingi,.. "Mimi kwasasa sina tena mda wa kukufata tena maana nimepata mtu mwengine, ananijali sana tena sana na yupo South Africa".
Sasa nikajaribu kumwambia kwamba wewe utaishia kulaliwa kama kuku lakini hautakuja kuolewa abadan, akawa ananiambia namtia gubu.
Nilizidi kumshambulia na kumwambia, nafasi uliyoipoteza kwangu hautaipata tena kwa mwengine. Na kama huamini huyo unaeniambia anakupenda na anakuja likizo, ukikubali kukulala tu umekwisha.
Nikamwambia sikwambii kwasababu ya wivu,.. Hapana, nakupendelea mema... Kama unataka kuolewa olewa ila ukilala nae umekwisha jeuri yako.
Tulikata mawasiliano kitambo... Juzi nikaona friend request kupitia account mpya ila jina lile lile... Mmmh ,.. Nikabaki kujiuliza huyu kafata nini tena kwangu?
Basi nikamkubalia urafiki wetu ukaendelea wa kwenye mtandao... Ikabidi aniulize kwamba bado nina hasira ila katika story zote akanambia lakini kwasasa amepata mtu mwengine na anampa kampan zake sana masuala ya biashara na huyo mtu ni mwanajeshi na yupo mission kwasasa.
Sasa nikamuuliza, inamaana kuja kuniomba urafiriki ni kuja kunitambulisha kwamba umepata mwanajeshi? Akanijibu, "hapana ni story tu kama umekasirika nisamehe" nikamjibu sijakasirika bali kuna swali langu naomba nikuulize, akanijibu sawa uliza.
Nikamuuliza,..
Mimi: Yule jamaa wa South imekuaje?
Yeye: Yule niliamua kuachana nae maana hatuendani umri wake ni mkubwa.
Mimi: Wakati unaanzisha mahusiano na yeye ulikua umefungwa kitambaa usoni?
Yeye: Hapana, tatizo ni kwamba yule mtu anaishi huko na mke wake, sasa nimeona itanichukua mda mrefu kumsubiri yeye kuja huku.
Mimi nikaacha kama yalivyo...
Nikamwambia hapo nilikwambia kwa ushenzi ulionao hautafanikiwa. Akanijibu kwasasa tuachane na yaliyopita, akanambia amemiss vituko vyangu anatamani tuwe marafiki tu ili akumbuke vile viburubani nilivokua nikimpa kwenye sim wakati nipo mbali nae.
Mimi nikataka kujua huyu mwanamke ana msimamo kama anavojinasibu?
Nikamwambia siwezi kuwa na urafiki labda urafiki wetu nikule ila huyo jamaa yako nitakuachia kama kawaida...
Alikubali ombi langu,.. Nikagundua hapa hamna kitu maana hana msimamo thabiti wa kile anachokisimamia..
Nilimtafutia sababu nikamfanyia visa tukaanzisha ugomvi. Hadi leo ni siku ya nne hatujaulizana chochote,... Ifahamike huyo mwanamke sijawahi kufanya nae mapenzi kwakuwa siko tayari.