Zeemadeit
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 776
- 1,556
Habari za weekend wakuu.
Mwaka jana mwishoni nilikuja na Uzi wa kuomba ushauri ni jinsi gani naweza pata kiwanja. Watu wengi walinipa ushauri mzuri.
Nikaona itakua vizuri nikileta mrejesho.
Nimepata eneo na nmezingatia vitu Vingi ambavyo wadau walinishauri. Uzingatiaji huo kiasi ulifanya nitumie muda mrefu kupata eneo maana mengi niliona hayafai.
Nikabadili mbinu kutoka kutumia madalali maana wao unawaambia unataka eneo la hivi wanakupeleka tu eneo ilimradi nikaona wananipotezea muda.
Mbinu iliyonisadia ni ya kwenda mtaa husika ninaohitaji eneo, nikamtafuta mwenyekiti wa pale na kumueleza sifa ta kiwanja ninachotaka (Hii mbinu pia kuna mdau walinishauri hapa). Haikuchukua muda maana yeye analist ya maeneo karibu yote yanayouzwa pale so akanipeleka direct kwenye eneo lenye sifa nilizozitaja. Nikapapenda akanikutanisha na wahusika mambo yakaisha.
Mungu akijaalia mwaka huu katikati nitaanza ujenzi. Kwa sasa Nina shughulikia issue ya kuvuta maji, ramani na kibali cha ujenzi.
Ahsanteni.
Mwaka jana mwishoni nilikuja na Uzi wa kuomba ushauri ni jinsi gani naweza pata kiwanja. Watu wengi walinipa ushauri mzuri.
Nikaona itakua vizuri nikileta mrejesho.
Nimepata eneo na nmezingatia vitu Vingi ambavyo wadau walinishauri. Uzingatiaji huo kiasi ulifanya nitumie muda mrefu kupata eneo maana mengi niliona hayafai.
Nikabadili mbinu kutoka kutumia madalali maana wao unawaambia unataka eneo la hivi wanakupeleka tu eneo ilimradi nikaona wananipotezea muda.
Mbinu iliyonisadia ni ya kwenda mtaa husika ninaohitaji eneo, nikamtafuta mwenyekiti wa pale na kumueleza sifa ta kiwanja ninachotaka (Hii mbinu pia kuna mdau walinishauri hapa). Haikuchukua muda maana yeye analist ya maeneo karibu yote yanayouzwa pale so akanipeleka direct kwenye eneo lenye sifa nilizozitaja. Nikapapenda akanikutanisha na wahusika mambo yakaisha.
Mungu akijaalia mwaka huu katikati nitaanza ujenzi. Kwa sasa Nina shughulikia issue ya kuvuta maji, ramani na kibali cha ujenzi.
Ahsanteni.