Mkuu umenikumbusha mbali sana.... Niliwahi kumfatilia dada mmoja alikuaga matawi ya juu alikua anasoma kampala.. Majibu yalikua ya nyojo..... Fast forward miaka mitano baadae.... Nilikutana nae maeneo ya ubaloz wa ufaransa aisee huwezi amini nilichamgamkiwa utadhani tuliwahi kua wapenzi kipindi cha nyuma... Akiniomba namba yangu nikampa. Baada ya kama siku mbili simu zikaanza mara tutoke out mara sijui nikamtembelee kwake.....mara sijui happy birthday yake niwepo blah blah blah. Blah kibao.... Ukimuangalia hajachuja sana lakini nilikuja kufatilia kumbe nyuma ya pazia mfadhil wake alisepa....... Kweli mkuu maisha yanaweza yakapiga 180 upande wa pili...I can sense wanaume wote hasa wa JF tunatukanwa isipokuwa hubby wako hata ambao hatukucomment wala kusoma bandiko hilo. Kumbu hawa hawa ndio unaokutana nao katika maisha ya kila siku na kuomba namba sio dhambi. Anyway maisha ni mzunguko mkali. Unaweza ukajistukia unapiga mzunguko wa nyuzi 180 ghafla ukaanza kuomba namba wewe.
Nashukuru umelitambua hilo...Hadi kakuona mara kumi ndo kakuomba namba? That would be an insult to my attractiveness lol
Hahahahhahaha... Mkuu umenifurahisha sana... Sijui na mimi ni copy na kupaste.... Kuanzia leo kama usafiri wako sio wa bodaboda au bajaji au mabasi ya kwenda south africa.Kuanzia leo kabla hujani 'quote' make sure
1.umepanda international flight not less than 10hrs
2.umekaa nchi za magharibi
Hio ndio 'class' yangu kabla huja interact na mimi na wewe ujue 'class' yako.
Usisahau kumpa taarifa @housegirl @brenda18 @atoto
Hata na mimi nimejaza.... Msg sent..... Hahahahahah. Good goodwewe @NYOSSO we mimi nimejaza magepu
ndo njia rahisi ya kujuana au wewe hupendi?naomba no yako plsLkn kwel huwa mnaboa saaana.... Unijui wala ckujui lkn utackia naomba namba yako ya cm chaaaaaaa
Hahahaha hahaTafuta jinsi yakuishi mbali nawanaume inaonesha una nyota yakuombwaombwa namba...!!
Fix tu hizo mkuu. Mtu anaweza kupika tu taarifa nae aonekane yumo, ndivyo jf ilivyo
Hahahahha mkuu.... Direct to the point.. Hahahahaww kama hupendi kutoa namba hakuna aliye kushika shati labda wenzio wanapenda kuombwa namba ndio maana wanatoa, kwahio usipoteze muda wako kuandika utumbo wako,ukimmyima mtu namba haihitaji mrejesho jf **** ww
A-Level ni wapi?
kamdhalilisha kweli mshikaji maana duh!? kama name yeye in mwana jf hata hatatamani tena kumuona huyu dadapromo at work
HahahhahaahahahhahahaUnitue hauna class yangu kabisa wewe, mie nimesoma ndalichako intaneshino skuli, alafu hizo intaneshino sijui flaiti ndio usafiri unaonipeleka kila mahali chezea kimotco intaneshinal flaiti wewe!!
...."know your class" take home message 2016. Ila mkuu ingawa haina madhara yoyote kwangu nadhani umetia chumvi nyingi kwenye statistikk za kwenye ndege na time frame otherwise I support your theme.Hi
Jana nilipoleta uzi huu wengi mliandika utumbo, najua uliwagusa pabaya, hata hivyo sikuwajibu kwa kuwa nilikua busy nafunga hesabu za kampuni za mwisho wa mwaka, hata hivyo huwa naingia jf asubuhi tu kabla sijaanza kazi hadi kesho tena asubuhi, so baada ya kukuta hizi pumba nimeona nizijibu
Wapo waliodai kupeana namba ni kitu cha kawaida, hii sio kweli, mbona hizo namba hamuwaombi wanaume wenzenu? Umewahi kuingia kwenye dala dala ukamkuta mwanaume mwenzio kwenye kiti halaf baada ya salaam ukaomba namba? Kama ufanyavyo kwa wanawake? Thubutu!! Kama jamaa hajakuona si rizki sijui
So waomba namba asilimia tisini na tisa huishia kutongoza, ni wachache sana atakuomba namba halaf asiendelee na mambo hayo
In fact mm natumia gari binafsi, hii haina maana kuwa sipaswi kuzungumzia usumbufu huu kwa ujumla, nimetaja dala dala kama mfano tu, lakini ni maeneo mengi sana, juzi nimempa lift mwana jumuia mwenzangu mtaani, hatufahamiani kiviile, cha kushangaza wakati anashuka posta akaomba namba ya simu, mbona kwenye jumuia yetu hajawahi kuniomba hiyo namba? Huu ni ugonjwa mbaya sana,
Watu tupo busy na utafutaji ww unahangaika kuomba omba namba za wanawake as if huna cha kufanya, I condem this behavior in the strongest terms possible
I how I met my hubby
Tulikua tukisafiri dar to nairobi kila mara kikazi huku hatujuani, ila tulishangaa tu kila mara tunagongana ndani ya kenya airways wakati mwingine tunakaa kiti kimoja, zaidi ya mara kumi bila kuombana namba ktk vipindi tofauti ndani ya miaka 3 hadi tuliporidhika wote kuwa hapa sasa ni muhimu tupeane namba, hadi sasa ni mume wangu
Mapenzi huwa yanakuja automatically tu, omba namba kama kweli unahiitaji in business terms, tuwasiliane professionally, kama kuna lolote la ziada litajitokeza tu
Wengine mliona nina dharau niliposeama ""mtu mwenyewe anaeomba namba kachoooka""
Sibadilishi kauli, ukweli ni kuwa lazima uangalie type zako unapoomba namba, kuna classes kwenye maisha, know ur class
Miliosoma nchi za magharibi mnailewa vizuri hii kanuni,
Sasa naomba muelewe tunapokuja kujichanganya na nyinyi huko kwenye shughuli za kijamii haina maana tupo class moja, bali tunataka ushirikiano tu
Mercy
Hahaaahahhaha.... Yaani leo.... Nibpoint point point kwa kwenda mbeleUlimbukeni unakusumbua tu dada yangu povu lote kisa umeombwa no ya simu na mtu ambaye hajielewi angekua anajielewa hope ungepiga kimya
Wewe mwenyewe umekiri hapo mme wako mmekutana safarini ,mapenzi yangekua ivo kama unavyotaka kumpa namba ushafikiria kutongozwa
Poor perceptions inagekua ivyo ata kuoana wangekua wanaoana watu wanaotoka mtaa mmoja maana ndo wanaojuana..
Hebu sasa nikutukane kidogo,
Ivi kua na usafiri binafsi na kufanya kazi kwenye kampuni pamoja na kupanda kenya airways unaona maisha ushayapatia tayari?????
Wanawake kama nyinyi ukute mmetiwa sura za baba zenu so always mnakuaga stressed sana
Mkuu simsemei isipokua nimetumia uzoefu wangu hapa jf, watoto wa jf wanapenda kiki, haingii akilini mtu alete uzi hapa then dakika chache mbele afuatwe pm aseme jina lake sio mercy, aseme anaishi bukoba, in short sioni kama ni kwelimbona unaonekana kumsemea sana...kwa nini asije hapa mwenyewe ili akanushe?
kwani mjibu hoja hawezi kuwa sahihi?
Inawezekana kabisa ikawa ni kweli.
Aah paulo kaondoka na dictionary yangu banaBabu thi unajua mie kidhungu hakipandi? Hebu ngoja nimuulize binti yangu @Heaven Sent.
Aah paulo kaondoka na dictionary yangu bana
Mkuu simsemei isipokua nimetumia uzoefu wangu hapa jf, watoto wa jf wanapenda kiki, haingii akilini mtu alete uzi hapa then dakika chache mbele afuatwe pm aseme jina lake sio mercy, aseme anaishi bukoba, in short sioni kama ni kweli
Hata hivyo unaweza kuwa sahii pia